M MRSH Senior Member Joined Dec 27, 2012 Posts 104 Reaction score 21 Jul 13, 2013 #1 Hbr za jion wakuu,Nimesikia tetesi ya kwamba tigo wamesitisha kutoa line za tigo pesa, hivi ni kweli au ni maneno tu ya mtaani.Je Mpesa na airtel money nao vp?Line zapatikana?
Hbr za jion wakuu,Nimesikia tetesi ya kwamba tigo wamesitisha kutoa line za tigo pesa, hivi ni kweli au ni maneno tu ya mtaani.Je Mpesa na airtel money nao vp?Line zapatikana?
Eliamini JF-Expert Member Joined Feb 4, 2012 Posts 609 Reaction score 734 Jul 13, 2013 #2 ni kweli ygo wamesitisha huduma ya kutoa uwakala wa tgo pesa airtel money na m pesa zinapatikana nitafute kwa namba 0682933868
ni kweli ygo wamesitisha huduma ya kutoa uwakala wa tgo pesa airtel money na m pesa zinapatikana nitafute kwa namba 0682933868
M MRSH Senior Member Joined Dec 27, 2012 Posts 104 Reaction score 21 Jul 13, 2013 Thread starter #3 Shukran Eliamini.Hebu kwanza nicofirm na wadau wengine kama ntapata ya tigo pesa then ntkutafuta.BTW, do you have an idea why?
Shukran Eliamini.Hebu kwanza nicofirm na wadau wengine kama ntapata ya tigo pesa then ntkutafuta.BTW, do you have an idea why?