Wengine wanafikisha ujumbe kwa kulala na kuanza kukoroma!
umenifurahisha sana hiyo ya GF na Bfboifrendi kwa gelifrendi wake;
kabla; "...haki yamungu, amini nakwambia, nitakuoa!"
baada; "...nawewe nae, kwani una haraka ya nini kuoana?"
Mke na mume;
kabla; "...mama nanihii usiharibu basi, tutaongea tukimaliza..."
baada; "...mume wangu, mume wangu...hatujamaliza kuongea umelala?"...(mume anakoroma!)
Maneno yanayosemwa kabla na baada ya Sex ni MAAGANO ambayo yanakuja kuwa na "IMPACT" KUBWA SANA kwenye maisha ya wahusika.Before and after the process of making love there must be some phrases people normally use.
What are these words different people use?
Let's share experience Please!
Eg. Before the Act ___ Can you/we think of.....
After the Act ___ Wow, that was fantastic/thank you, ......