Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,762
- 59,204
Hahaha chakorii nimetania lakini.Hahahaha...huyu ndo mtakatifu wetu wa kizazi kipya.
Ni wewe mtakatifu ndie inayokumaliza hewa mkuu wengine hawajaniletea hizo tuhuma.teh!
Sijachukulia siriazi mtakatifu.nilijua unatania tu.kuwa na amani mkuuHahaha chakorii nimetania lakini.
ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha ha nacheka ki hapa kazi tu!Aisee hata mimi nilicomment kwa Trump kule twitter, nikamwambia kama atahitaji waziri toka afrika anipigie tu, sasa jana usiku wakati nimelala akanipigia bwana sema simu ilikua kwenye silent, sikuisikia naamka nakuta 5 missed calls from Trump.
AsanteeeSijachukulia siriazi mtakatifu.nilijua unatania tu.kuwa na amani mkuu
Teh!asante kushukuru.Asanteee
Ila kaa ukijua rangi yako mi hoi.Teh!asante kushukuru.
Hahahaha mtakatifu bhana...mbn haitofautiani na hiyo yakwako mkuu (Tray Songz)???Ila kaa ukijua rangi yako mi hoi.
Yupo Nyumbani kwake Mikochen B.Hivi harmorappa yupo
[emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38][emoji38]Kama hii habari ni ya kweli basi huyu Linex kuna nati itakuwa imekata.
Msolo[emoji769] 2017
Ameshapaisha penati kizembe kabisa..Najua kuchanganyikiwa kwa furaha kupo lkni bwana linex angejikaza kiume akaongea ajue anasema nini maana kitendo cha kupigia simu Dj Khaleed ni sawa na kuokota dhahabu bombani.Aiseeh.