Lini Arajiga atapewa mechi ya Simba?

Lini Arajiga atapewa mechi ya Simba?

Danielmwasi

JF-Expert Member
Joined
May 3, 2021
Posts
2,134
Reaction score
3,834
I will be short.

10 matches in, Arajiga ajapewa mechi hata moja ya Simba.

Ila Yanga kachezesha mechi 4 zote Simba hata moja. Kama hii sio match fixing ni nini?

Note: Wote wapo hapa hapa Dar.
 
Yupo refa wao Mdoe, Wana tamba na kuringa nae.
Ukiweka refa wa maana kwenye mechi ya Simba, Simba anapasuka mapema kwasasa Wana marefa wao wa Mchongo.
 
I will be short.

10 matches in, Arajiga ajapewa mechi hata moja ya Simba.

Ila Yanga kachezesha mechi 4 zote Simba hata moja. Kama hii sio match fixing ni nini?

Note: Wote wapo hapa hapa Dar.
Yaani nyie tangia Azam wamewatoa usichana wenu mnahangaika sana kutafuta mchawi wakati mchawi ni nyie wenyewe
 
Yupo refa wao Mdoe, Wana tamba na kuringa nae.
Ukiweka refa wa maana kwenye mechi ya Simba, Simba anapasuka mapema kwasasa Wana marefa wao wa Mchongo.
Utopolo bado hamjasema
 
I will be short.

10 matches in, Arajiga ajapewa mechi hata moja ya Simba.

Ila Yanga kachezesha mechi 4 zote Simba hata moja. Kama hii sio match fixing ni nini?

Note: Wote wapo hapa hapa Dar.
Arajiga ashukuliwe kuna penati kuitia mfukoni kaenda kuonnyesha wanae.
 
Bodi ya ligi ni lazima iwapange marefa dhaifu kwenye mechi za 5imba ili wakifanya makosa ionekane ni udhaifu wao na sio mlungula, Tatu Malogo, Ely Sasii n.k

Yanga kaliwa.

Yanga kafungwa.

Yanga kapapaswa.

Yanga kalambishwa lolo.

Silaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa.........!!!
 
Ngoja waje wakutukane, badala ya kukujibu kwa hoja.

Yanga kafungwa.

Yanga kabondwa.

Yanga kaliwa.

Yanga kalambishwa lolo.

Yanga kashikishwa ukuta.

Yanga kapigwa pipe.

Silaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaaa......we huogopi.
 
Kufungwa kubaya sana, kusikie tu kwa jirani. Siku kapangwa Arajiga simba vs yanga 1-5, Yanga vs Simba2-1 ulikenua mijino, leo Jibri sila kala bikira mnafungua nyuzi za kichoco kama akina kaoge. we match ngapi msimu huu umecheza wapinzani wako wakiwa pungufu?. Hii ligi si mali ya GSM ni ya TFF na bodi ya ligi. kama hutaki kufungwa chukua timu zenu za udhamini wa gsm anzisha ligi yenu.
 
I will be short.

10 matches in, Arajiga ajapewa mechi hata moja ya Simba.

Ila Yanga kachezesha mechi 4 zote Simba hata moja. Kama hii sio match fixing ni nini?

Note: Wote wapo hapa hapa Dar.
Keshooo na kmc
 
Arajiga ndio mwamuzi bora zaidi kwa Tanzania, lakini naona TFF na bodi ya ligi hawataki kabisa atumike kwenye mechi za Simba zaidi ya derby. Hiyo ni ishara kuwa Simba inapenda kutumia marefa dhaifu na wepesi kununulika.
 
Back
Top Bottom