Danielmwasi
JF-Expert Member
- May 3, 2021
- 2,134
- 3,834
I will be short.
10 matches in, Arajiga ajapewa mechi hata moja ya Simba.
Ila Yanga kachezesha mechi 4 zote Simba hata moja. Kama hii sio match fixing ni nini?
Note: Wote wapo hapa hapa Dar.
10 matches in, Arajiga ajapewa mechi hata moja ya Simba.
Ila Yanga kachezesha mechi 4 zote Simba hata moja. Kama hii sio match fixing ni nini?
Note: Wote wapo hapa hapa Dar.