Nicholas
JF-Expert Member
- Mar 7, 2006
- 25,260
- 7,204
ktk muda mfupi tumeona cdm wakizika political carreer za viongozi wa ccm ktk serikali na wastaafu.
tumeona arumeru lowasa,wasira,mkapa,sendeka, ,tumeona ktk mazishi ya makani mukama alionekana kituko na mpotevu, tumeona Nape na mwigulu tayari wamebaki km wendawazimu wasiotaka kubali kuwa sasa hivi wapo uchi,tumeshughudia vyama mamluki,msajili wa vyama tendwa nae ni kituko,tumeona majeshi,takukuru na mwanasheria mkuu kubaki vichekesho.Ni CAG tu ndio hajaingia ktk matope.sita na membe na uongozi wa bunge wameshamalizwa kabisa.mbaya hata watarajiwa ktk migiro cdm wameshawavua carrees na kuzika.
Cdm bado wanaendelea sasa wamekama kichwa wanamtafuna mwenyekiti ,katibu mkuu na makamu wao na tayari wameshadumbukiza kaburini.
Swali je ni lini ccm watajikomboa na nani atakuwa nabii na mkombozi?
tumeona arumeru lowasa,wasira,mkapa,sendeka, ,tumeona ktk mazishi ya makani mukama alionekana kituko na mpotevu, tumeona Nape na mwigulu tayari wamebaki km wendawazimu wasiotaka kubali kuwa sasa hivi wapo uchi,tumeshughudia vyama mamluki,msajili wa vyama tendwa nae ni kituko,tumeona majeshi,takukuru na mwanasheria mkuu kubaki vichekesho.Ni CAG tu ndio hajaingia ktk matope.sita na membe na uongozi wa bunge wameshamalizwa kabisa.mbaya hata watarajiwa ktk migiro cdm wameshawavua carrees na kuzika.
Cdm bado wanaendelea sasa wamekama kichwa wanamtafuna mwenyekiti ,katibu mkuu na makamu wao na tayari wameshadumbukiza kaburini.
Swali je ni lini ccm watajikomboa na nani atakuwa nabii na mkombozi?