Lini Hawa faya tutasikia wamezima moto wameokoa kitu

Lini Hawa faya tutasikia wamezima moto wameokoa kitu

Pdidy

JF-Expert Member
Joined
Nov 22, 2007
Posts
57,951
Reaction score
32,619
Sijui na bahati mbaya YAAN kila siku nikiangalia taarifa nakuta jamaa wanaelezea wahusika wamechekewa kutia taarifa moto ULIKUWA stage mbaya imesambaaa

Sasa tunasaidianaje na hiliiiii
Hili n tatizioo kwakweli

Naangalia eatv kuna godown zimeungua...hivi godown zinaona moto zinaweza Chelsea kuwapigia KUOMBA MSAADA

Shida n Yale Yale wanachelewa
2. WAKIFIKA wanakuja na maji MADOGO
.yaani shida NASHAURI taarifa za habari za mambo ya moto zisionyeshwe zinaongeza tu uchungu kwa wananchi
 
sasa wewe unataka wawewanatokezea hapo hapo tu moto ukianza kama wachawi..
 
Mi naona hili jeshi liwe linakuja na kuwatambua waliohusika na uokoaji halafu liwalipe posho wapambanaji wazalendo.
 
Back
Top Bottom