Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 57,951
- 32,619
Sijui na bahati mbaya YAAN kila siku nikiangalia taarifa nakuta jamaa wanaelezea wahusika wamechekewa kutia taarifa moto ULIKUWA stage mbaya imesambaaa
Sasa tunasaidianaje na hiliiiii
Hili n tatizioo kwakweli
Naangalia eatv kuna godown zimeungua...hivi godown zinaona moto zinaweza Chelsea kuwapigia KUOMBA MSAADA
Shida n Yale Yale wanachelewa
2. WAKIFIKA wanakuja na maji MADOGO
.yaani shida NASHAURI taarifa za habari za mambo ya moto zisionyeshwe zinaongeza tu uchungu kwa wananchi
Sasa tunasaidianaje na hiliiiii
Hili n tatizioo kwakweli
Naangalia eatv kuna godown zimeungua...hivi godown zinaona moto zinaweza Chelsea kuwapigia KUOMBA MSAADA
Shida n Yale Yale wanachelewa
2. WAKIFIKA wanakuja na maji MADOGO
.yaani shida NASHAURI taarifa za habari za mambo ya moto zisionyeshwe zinaongeza tu uchungu kwa wananchi