Lini na siku ya ijumaa itakuwa siku ya mapumziko?, Kama ilivyo jumamosi na jumapili.

Lini na siku ya ijumaa itakuwa siku ya mapumziko?, Kama ilivyo jumamosi na jumapili.

dimaa

JF-Expert Member
Joined
Jul 30, 2016
Posts
4,174
Reaction score
5,658
Eid Mubarak.

Kwa kweli sijui ni nani aliasisi, jumamosi na jumapili kuwa siku za mapumziko?.

Ukiangalia jumamosi ni siku ya ibada kwa wasabato, jumapili ni siku ya ibada kwa wakatoliki na madhehebu mengine.

Siku ya ijumaa ambayo ni siku ya ibada kwa waislam imesahaulika. Tuwape wenzetu nao haki yao, tuweke udini, pembeni je hii ni haki?

Sijajua vilitumika vigezo gani kufanya jumamosi na jumapili kuwa siku za mapumziko.Naiomba serikali irekebishe hii Sheria, hakika ni kandamizi kwa dini ingine.
 
Eid Mubarak.

Kwa kweli sijui ni nani aliasisi, jumamosi na jumapili kuwa siku za mapumziko?.

Ukiangalia jumamosi ni siku ya ibada kwa wasabato, jumapili ni siku ya ibada kwa wakatoliki na madhehebu mengine.

Siku ya ijumaa ambayo ni siku ya ibada kwa waislam imesahaulika. Tuwape wenzetu nao haki yao, tuweke udini, pembeni je hii ni haki?

Sijajua vilitumika vigezo gani kufanya jumamosi na jumapili kuwa siku za mapumziko.Naiomba serikali irekebishe hii Sheria, hakika ni kandamizi kwa dini ingine.

Dah...acha uvivu na kulialia banaa...Kuraani yenyewe inasisitiza kufanya kazi siku ya Ijumaa
Kasome kuruani sura ya 62 ( Al jum'a) kuanzia aya ya 9....

.......Naitakapo kwisha Sala, tawanyikeni katika nchi mtafute fadhila za Mwenyezi Mungu, na mkumbukeni Mwenyezi Mungu kwa wingi ili mpate kufanikiwa.....

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kuna baadhi ya nchi za kiarabu weekend ni ijumaa na jumamos jumapili ni siku ya kazi
 
Back
Top Bottom