Lini ulitambua maana halisi ya unga wa dona

Tatizo la unga wa dona hauna ladha tamu, japo una virutubisho OG kuliko ule mwengine.
 
Mla Bata said:
ugali hasa dona ni mboga bwana

Depal said:
Dona lina mboga zake ukifanya mchezo halipiti kooni

Dona kw mboga labda bamia / mlenda kidoogo utanishawish kula...

Vinginevyo dona maziwa bwana... πŸ˜€ πŸ˜€ πŸ˜€ hapo hunibandui.
 
Ulikua na umri gani ulipogundua kua neno unga wa dona, sio unga unaotokana na mahindi yasiyokobolewa bali ni unga wa msaada kutokana na njaa ya mwaka 1974 (unga wa donor)
Hayaaah kumbe iko hivo. Umenijulisha sasa kabla ya hapa sikuwa najua
 
Well , sema ugali hasa dona ni mboga bwanaa, kama hamna mboga ya maana mi waniite mwanaume wa dar tu, nitakula chips.
Kwetu sisi huku mara ugali wa dona ndiyo mboga...sasa jiulize chakula chenyewe ni nini
 
Ulikua na umri gani ulipogundua kua neno unga wa dona, sio unga unaotokana na mahindi yasiyokobolewa bali ni unga wa msaada kutokana na njaa ya mwaka 1974 (unga wa donor)
Acha kutufunga kamba.. kabla ya 1974 hiyo Dona iliitwaje?
 
Ndio nimejua leo...
Hivi unakulaje ugali na Maziwa asee..?
Dona kitimoto rosi ndio mahala pake
 
Ulikua na umri gani ulipogundua kua neno unga wa dona, sio unga unaotokana na mahindi yasiyokobolewa bali ni unga wa msaada kutokana na njaa ya mwaka 1974 (unga wa donor)
Hapana 1974 ilikuwa ni unga wa yanga ndio huo hapo, Dona hata mimi na uzee wangu nimekuta hilo jina
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…