Utawala2025
JF-Expert Member
- Oct 20, 2023
- 1,144
- 2,755
Habari.
Kama kila siku vyombo vya dola vinatuhamasisha wananchi tuweze kulinda Amani ya nchi Yetu.
Lakini Hali hii kwa hivi karibuni nchini mwetu imekuwa kitu cha tofauti na kuleta sitofahamu kwa sisi wananchi.
Kumekuwa na wimbi kubwa la wananchi kutekwa kwa vipindi tofauti na mazingira yasioeleweka huku taarifa nyingi zinazotolewa katika mitandao ya kijamii kwa kusema watu wasiojulikana.
Hali hii imeendelea kuleta taharuki kwetu sisi wananchi na kutuacha maswali na sitofahamu.
Kwanini mpaka leo Serikali kupitia Raisi wa nchi,Bunge la Tanzania ,mahakama ,Jeshi la polisi nchini Tanzania kukaa kimya na kutotoa tamko kwa hali ya utekaji inayoendelea nchini.
Je, ukimya wao unaleta picha ipi kwetu?
Ni kifanyike kama wao wameshindwa je wanataka tuwe frontline wa kupinga na kukemea vikali hali inayoendelea nchini mwetu.
Kwanini watu wachache wameamua kuwa juu ya sheria.
Naomba nimalizie kwa kutoa mifano miwili iliyotokea kwa kipindi cha miezi miwili na hatujaona matamko yoyote.
1. Utekaji wa SATIVA ni nani ametoa Tamko hadi leo?
2. Utekaji wa kijana shadrack Chaula maarufu kuchana picha ya Raisi nchini Mamlaka gani imetoa Tamko hadi muda.
Je, lini tutarajie kukoma utekaji nchini Tanzania?
PIA SOMA
- Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana
Kama kila siku vyombo vya dola vinatuhamasisha wananchi tuweze kulinda Amani ya nchi Yetu.
Lakini Hali hii kwa hivi karibuni nchini mwetu imekuwa kitu cha tofauti na kuleta sitofahamu kwa sisi wananchi.
Kumekuwa na wimbi kubwa la wananchi kutekwa kwa vipindi tofauti na mazingira yasioeleweka huku taarifa nyingi zinazotolewa katika mitandao ya kijamii kwa kusema watu wasiojulikana.
Hali hii imeendelea kuleta taharuki kwetu sisi wananchi na kutuacha maswali na sitofahamu.
Kwanini mpaka leo Serikali kupitia Raisi wa nchi,Bunge la Tanzania ,mahakama ,Jeshi la polisi nchini Tanzania kukaa kimya na kutotoa tamko kwa hali ya utekaji inayoendelea nchini.
Je, ukimya wao unaleta picha ipi kwetu?
Ni kifanyike kama wao wameshindwa je wanataka tuwe frontline wa kupinga na kukemea vikali hali inayoendelea nchini mwetu.
Kwanini watu wachache wameamua kuwa juu ya sheria.
Naomba nimalizie kwa kutoa mifano miwili iliyotokea kwa kipindi cha miezi miwili na hatujaona matamko yoyote.
1. Utekaji wa SATIVA ni nani ametoa Tamko hadi leo?
2. Utekaji wa kijana shadrack Chaula maarufu kuchana picha ya Raisi nchini Mamlaka gani imetoa Tamko hadi muda.
Je, lini tutarajie kukoma utekaji nchini Tanzania?
PIA SOMA
- Kiongozi wa Madaktari (Dr. Ulimboka) atekwa, aokotwa akiwa katika hali mbaya sana