Lionel Messi ashinda tuzo ya FIFA Ballon d’Or 2015

kuangalizia kwenye bar tabu sana wameweka sauti ya mziki wa drake
 
Aibu kwa uingereza na kujipa kwao promo. Hakuna hata mchezaji m1 anayecheza epl aliyetajwa kwenye fifapro world xi
 
mwenye kujitolea kutuwekea hapa kila updates ya kinachofanyika afanye hivo
 
Nmechoka kuona Messi na Ronaldo wanabadilishana hii tuzo, bora hata achukue Neymar


mcheza show analipi kalifanya la maana hadi apewe hiyo ndoo? ni bora wangemweka suarez kuliko huyo dogo hamna alichokifanya zaidi ya kujiangusha kama cristina wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…