Wanaelewana neymar anaongea kireno Rinaldo kireno messi kihispania ambacho kinaingiliana kwa kiasi flani na kireno.Nisaidieni kunijuza hivi Ronaldo Messi na Neymar wanaelewana lugha?
mkuu hizo ni media za kibongo zilizusha huo usenge, sijui waliona biashara zao zinaenda vibaya then wakataka wa create attention ili wauze sana, idont know, tena ukute mwandishi mkubwa kabisa hapa bongo nae anaandika na photoshop juu eti the man is homosexual, #waandishi wa habari badilikeni sio kupotosha umma kuna watu hawana uwezo wa kuchuja habari wanachukua first hand na kwenda kudanganya wenzie#hata mimi nilipozipata hizo habari niliumia sana, sikutaka kuamini nilichosikia chapuchapu nkaingia deep zaidi kufatilia huo mkasa basi nkapata fahamu kilichokua kinaendelea.
Mi huwa namuita Mbirikimo MkoraMtu mfupi lazima achukue tena...
Kumbuka ili hata upate hao mashabiki ni lazima uoneshe cha kuwavutia ndo wakuchague, hao waliochaguliwa na unaodau ni mashabiki wamefanya vizuriTatizo la tuzo hizi hakuna vigezo kamili vya kumfanya mtu kuchukua tuzo!
Wengi hupiga kura kishabiki ndipo tatizo linapo kuja so hata akichukua mwafulani huezi hoji kwanini fulani kachukua
Ndo maana wazuri wengi wameachw hatua za mwanzo so lolote linaweza tokea
mbona samatta hayupo hapo?!
FYI MAGAZETI KAMA THE MIRROR na THE SUN NDO YALIANDIKA NA KUFUATILIA HABARI HII KWA UKARIBU SANA WALA SIO BONGO ., na zile picha sio edit ingawa hatuwezi kusem a 100% a ni gaysh,, jamaa wa Morocco aliweka picha amembeba Ronaldo na kuandika ""haaa haaa just got married " kwenye insta page yake ambayo ni officialmkuu hizo ni media za kibongo zilizusha huo usenge, sijui waliona biashara zao zinaenda vibaya then wakataka wa create attention ili wauze sana, idont know, tena ukute mwandishi mkubwa kabisa hapa bongo nae anaandika na photoshop juu eti the man is homosexual, #waandishi wa habari badilikeni sio kupotosha umma kuna watu hawana uwezo wa kuchuja habari wanachukua first hand na kwenda kudanganya wenzie#
Sijui kwanini wanamtetea huyo bwabwa.... eti yameandika magazeti ya bongo... dah!!FYI MAGAZETI KAMA THE MIRROR na THE SUN NDO YALIANDIKA NA KUFUATILIA HABARI HII KWA UKARIBU SANA WALA SIO BONGO ., na zile picha sio edit ingawa hatuwezi kusem a 100% a ni gaysh,, jamaa wa Morocco aliweka picha amembeba Ronaldo na kuandika ""haaa haaa just got married " kwenye insta page yake ambayo ni official
Cristiano Ronaldo is in a gay relationship with hunky Moroccan kickboxer it has been sensationally claimed
Ukiachana na Messi sijui yeye alitaka abebe nani hii tuzo!Kumbuka ili hata upate hao mashabiki ni lazima uoneshe cha kuwavutia ndo wakuchague, hao waliochaguliwa na unaodau ni mashabiki wamefanya vizuri
Jamaa mapenzi yake yamezidi mpaka anakataa ukweli kuhusu Ronaldo.Sijui kwanini wanamtetea huyo bwabwa.... eti yameandika magazeti ya bongo... dah!!
Siyo wote brother Mbona mimi Man U damu lakini namkubali sana tu Messi. ....Man u ndio hawampend messi na barca chunguza.
Messi apewe tuu Neyma bado sana ila Ronaldo aendelee na lile jamaa la mieleka uko Egypt kanikera kweli
Asante kwa marekebisho kanikela mpaka nkachanganya jina la inchiSio Egypt ni Morocco
umeongea ya maana sana na huu ndo uzalendo wa mpira penye haki ni kupewa haki yake laiti watu wote humu wangalikua na uweleo kama huu wa kwako pasingalikua na mabishano yasoio kua na maanaMimi ni mshabiki wa Ronaldo. Nitaendelea kuwa hivyo. Mwaka 2015, Messi anastahili kabisa kuchukua hii tuzo. Ronaldo hata yeye amekiri mara kadhaa alipohojiwa hata kabla ya 3finals haijatoka. Si ajabu. Miaka miwili iliyopita ilikua ya Ronaldo. Messi patiently waited for his turn. Hata alipoongea baada ya kupokea tuzo yake alisema hilo.
Kuwa mchezaji bora unahitaji msimu mzuri kwako na timu yako. Kama timu kwa ujumla haipo vizuri hata ungekuwa Messi, hautafanikiwa. Hiki ndicho kilimkuta CR7; binafsi alifanya alichotakiwa kufanya; kufunga magoli (ndiye mfungaji bora 2015 Ulaya). Ameibeba timu alipolazimika.
Kwa upande wa Messi timu zake (club na nation) zilikua ontop of the game. Player ratings katika vikosi hivi zipo mbali sana compared to that of CR7's in 2015. Kikosi kizima kinaperfom vizuri lazima nawe uwe na chance ya kushine.
Well deserved winner in 2015 just as it was 2014 and 2013. Congratulations Messi.