MO11 JF-Expert Member Joined Mar 23, 2014 Posts 19,057 Reaction score 39,387 Feb 17, 2015 #21 sina cha kuongeza kuhusu Messi
Msigazi Mkulu JF-Expert Member Joined Dec 22, 2013 Posts 4,160 Reaction score 3,368 Feb 17, 2015 #22 Mnasahau Neymar ni hatari na yeye
korea kaskazini Senior Member Joined Feb 26, 2014 Posts 122 Reaction score 24 Feb 17, 2015 #23 mansakankanmusa said: Hatuna mpango na yeyote kati yao, sio r7 no messi. sisi man utd tunakiu si yao hawo masharo uharo messi kwa nini hafanyi vizur argentina timu y taifa? Click to expand... Kwa kuwa napita nina haraka kidogo na majukumu ya kulikomboa Taifa hili kutoka kwny ugaidi wa Amboni kule Tanga ww jamaa hujui chochote kuhusu soka kwa hyo unaweza pita wima na usome commnts za wanaojua soka
mansakankanmusa said: Hatuna mpango na yeyote kati yao, sio r7 no messi. sisi man utd tunakiu si yao hawo masharo uharo messi kwa nini hafanyi vizur argentina timu y taifa? Click to expand... Kwa kuwa napita nina haraka kidogo na majukumu ya kulikomboa Taifa hili kutoka kwny ugaidi wa Amboni kule Tanga ww jamaa hujui chochote kuhusu soka kwa hyo unaweza pita wima na usome commnts za wanaojua soka
korea kaskazini Senior Member Joined Feb 26, 2014 Posts 122 Reaction score 24 Feb 17, 2015 #24 chebi said: ulitaka afanyeje hata kuifikisha timu final ha hiyo finala uliona jinsi greman walivyopata tabu hata wakawashinda goli moja katika extra time Click to expand... Germany......!!
chebi said: ulitaka afanyeje hata kuifikisha timu final ha hiyo finala uliona jinsi greman walivyopata tabu hata wakawashinda goli moja katika extra time Click to expand... Germany......!!