Maafisa Ushuru na Forodha Nchini Spain katika mji a Catalunya wamesema Mshindi wa tuzo ya Baloon d' Or mara nne mfululizo Lionel Messi anashukiwa pamoja na baba yake kwa kukwepa kodi na kusababisha hasara ya £ 3.4 million mnamo 2007-09 na kwamba uchunguzi unaendelea.
Source: BBC & Eurosport