BlackPanther
JF-Expert Member
- Nov 25, 2015
- 9,185
- 8,715
Mungu atupe uhai Mkuu. Champions anaweza kuwa kati ya hawa, Germany, Brazil au Argentina.
Sasa mpaka unajiweka kitanzi kabisa mpira unadunda hao Argentina watatolew round ya makund
Leo Messi Computer
Ni lazima watatolewa round ya makundi?. Itategemea na timu za kundi atalokuwepo. Siyo kwamba nabisha hawezi kutolewa Lahasha, kama ulivosema "mpira ni dk 90" kwa hiyo anaweza fika mbali pia, kuchukua ni ishu nyingine, kwani kila timu iliyofuzu inalengo la kuchukua ndoo!Sasa mpaka unajiweka kitanzi kabisa mpira unadunda hao Argentina watatolew round ya makund
SawaWeka akiba ya maneno.
Sawa
Haya! Shetani kabeba tena huko
Kaka naona thread ipo kimya [emoji4] [emoji4] [emoji4] watakua hawana bundle ndugu zanguHaya! Shetani kabeba tena huko
Mimi hujui kwamba Mimi nikipenda na Mungu nae anapenda na nikichukia basi hata Mungu nae huchukia hivyo hivyo? Watu wengi wenye mapenzi na Christiano Ronaldo huwa na ' matatizo ' makubwa ambayo pia ni magumu kutatulika. Ukitaka kuwa na furaha ya milele ungana na GENTAMYCINE katika kumpenda na kumkubali Lionel Messi.