N goli 3 na sio 4Ronaldo aliwafunga sweeden goli nne peke yake na kuwapeleka ureno brazil
namaanisha ronald anafanya mazoez mengi sanaaaaaaa, messi kawaida tu
Hakuna mpira bila mazoez makali sema skills ndogo wametofautiana dribling na chenga.
Afadhali umeiweka sawa mkuu...Hakuna mpira bila mazoez makali sema skills ndogo wametofautiana dribling na chenga.
hivi umeona watu wanamzungumzia ronaldo kuhusu kuchukua fifa wc?? messi kaambiwa na raisi wa fifa, akitaka kuwa mchezaji bora wa wakati wote inabd achukue world cup
Alikuwa na nafasi hiyo 2014 Lakini sasa ngumu kutoboa, maana huko kufuzu tu umeona tia maji Tia maji.hivi umeona watu wanamzungumzia ronaldo kuhusu kuchukua fifa wc?? messi kaambiwa na raisi wa fifa, akitaka kuwa mchezaji bora wa wakati wote inabd achukue world cup