Lipa na Azam pesa

rich1

JF-Expert Member
Joined
Jul 31, 2015
Posts
3,020
Reaction score
3,309
Kwema jaman wandugu, napenda kujua haya yafuatayo kuhusiana na lipa ya Azam pesa.
  1. Kiwango cha mwisho kutoa pesa n shs ngap???
  2. Je ukitoa pesa kutoka Azam pesa kupeleka kwenye code ya Azam pesa unapata commission????
  3. Gharama ya kukwata kutoka mitandao mingine na banks mfano CRDB na NMB ni shs ngapi??? Kwenda Lipa ya Azam pesa.
 
Kwema sana, kuhusiana na Lipa namba ya Azampesa
1. Kiwango cha mwisho cha kutoa kwa Wakala au kutuma pesa kutoka Lipa kwenda Benki ni milioni 10 kwa siku, kutoa kwenye tawi la Crdb haina kikomo
2. Hii haina commission
3. Gharama zote za kutoa pesa Benki au mitandao mingine kwenda Lipa namba ya AzamPesa itategemea viwango vilivyopangwa na Benki au mtandao husika
 
Asantee sana.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…