quadrupleA
New Member
- Apr 16, 2021
- 3
- 5
Wadau Mimi ni mfanyabihashara ya Tigo pesa na Mpesa, nimekuja kugundua ghafla commission imeshuka, na kugundua kwamba binti niliye muweka dukani ana line ya lipa namba ya Tigo, so mteja akija kutoa pesa ana mshawishi atumie lipa namba na akitoa mfano elfu 99000 anakata 1500 yake cash.
Mkononi mteja anabaki na balansi baada ya kukatwa hiyo 1500 na msichana ambayo ni ndogo kwa mteja ukilinganisha na tozo ambayo angekatwa kama angetoa kwa wakala direct.so mie nabaki sina kitu? Nifanyeje?
Mkononi mteja anabaki na balansi baada ya kukatwa hiyo 1500 na msichana ambayo ni ndogo kwa mteja ukilinganisha na tozo ambayo angekatwa kama angetoa kwa wakala direct.so mie nabaki sina kitu? Nifanyeje?