quadrupleA
New Member
- Apr 16, 2021
- 3
- 5
Hii huduma nlikuwa nataka kufanya mipango ya kujiunga lakini naona kunapoelekea hizi kusagiana kunguni mda sio mrefu itawekewa vikwazo hii huduma ngoja nitulie tuNatafta suruhisho...ugawaji waline za lipa namba mamlaka ziangalie tena.....hakutakiwa na haja ya kufanya bihashara ya kutoa pesa lasivyo hii kwangu kesho kwa mwingine..
Mkuuu naona unataka tukale police????Wadau Mimi ni mfanyabihashara ya Tigo pesa na Mpesa, nimekuja kugundua ghafla commission imeshuka, na kugundua kwamba binti niliye muweka dukani ana line ya lipa namba ya Tigo, so mteja akija kutoa pesa ana mshawishi atumie lipa namba na akitoa mfano elfu 99000 anakata 1500 yake cash.
Mkononi mteja anabaki na balansi baada ya kukatwa hiyo 1500 na msichana ambayo ni ndogo kwa mteja ukilinganisha na tozo ambayo angekatwa kama angetoa kwa wakala direct.so mie nabaki sina kitu? Nifanyeje?
Serikali ipi?? Hii ya C.C.M iliyo jaaa majambazi watupu.Lipa kwa namba inanyima mapato serikali wajanja wamekuwa wengi hii iwekewe utaratibu sasa
Eti hajui cha kufanya!?Kumbe shida ni huyo mdada wako!!
Hii shoti ya umeme uliyopigwa, imetokana na hili tangazo lako, au kuna sababu nyingine?JIPATIE HUDUMA YA LIPA KWA MPESA BURE:
VIGEZO[emoji116]
[emoji117]Sajili namba ya vodacom bila kuiwezesha mpesa.
[emoji117]Uwe na TIN namba
[emoji117]Uwe na kitambulisho cha NIDA
Ukiwa navyo hivyo nitumie via whatsapp 0758381938.
POPOTE ULIPO TZ UTAHUDUMIWA[emoji120]