LIPA ya vodacom imezidiwa na masterpass

nusuhela

JF-Expert Member
Joined
Jan 26, 2014
Posts
5,915
Reaction score
7,210
Ni jambo la aibu kukatwa wakati unafanya malipo kwa LIPA ya vodacom wakati MASTERPASS ni bure kabisa.

Sijui vodacom mlifikiria vizuri hasa wakati huu ambao tunaenda kuondokana na hela za kushikika nakuingia kwenye electronics money.

Fikirieni mara mbili
 
Hapa siwez kuingia kwenye ACC yangu ya crdb kisa Sina salio simuni mpk nitumie tigo

Sent using Jamii Forums mobile app
Mawakala wa voda ni wengi,na lipa kwa mpesa ili wekwa kwa ajili ya kulipia bidhaa,sasa mawakala siku hizi wanaona bora ulipe kwa mpesa then wachukue chao mapema hii ni kutokana na commission zinakatwa mwisho wa mwezi,sasa hivi ile ya kutolea wanachukua yote hawagawani na voda hivo ni faida kwao mawakala pia voda kwasababu mteja anapotaka kulipa anakatwa kiasi pia.

All in all hakuna unafuu wa gharama kwa end user.

Tigo ni free?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…