Na kama hubby anakula dume jenzie?its friday bana unakuja tena na hizi kitu zitaharibu mood..
Mweee Masaki hakuna lililo bora hapo, lakini hilo la hubby kuliwa jamani ntakufa sekunde kadhaa baada ya kugundua......
its friday bana unakuja tena na hizi kitu zitaharibu mood..
Mweee Masaki hakuna lililo bora hapo, lakini hilo la hubby kuliwa jamani ntakufa sekunde kadhaa baada ya kugundua......
hilo ni bora sana kwa mwanamke(MKE WA MTU)Kuna watu kama wawili hivi wenye shule za nyadhifa zao nawafahamu ambao ni mashoga wa kisiri siri. Wana pesa, familia, wake na watoto.
Sasa nauliza nyie wanawake. lipi bora ugundue kwamba mumeo anatembea nje ya ndoa na mwanamke mwingine, au ugundue kwamba mumeo ni shoga na anapumuliwa kisogoni kwa siri na wanaume wenzie?
HILI NALO ni bora sana kwa mke mwenye ndoa yake!Na kama hubby anakula dume jenzie?
Na kama hubby anakula dume jenzie?
Binamu kwani haya nayo ni mambo magumu magumu? Mbona naona ni mepesi mepesi tu yanafaa kwa Ijumaa jioni! 🙂
HILI NALO ni bora sana kwa mke mwenye ndoa yake!
Kuna watu kama wawili hivi wenye shule za nyadhifa zao nawafahamu ambao ni mashoga wa kisiri siri. Wana pesa, familia, wake na watoto.
Sasa nauliza nyie wanawake. lipi bora ugundue kwamba mumeo anatembea nje ya ndoa na mwanamke mwingine, au ugundue kwamba mumeo ni shoga na anapumuliwa kisogoni kwa siri na wanaume wenzie?
Chagua moja ambalo ni afadhali hapo:Yesu wangu Iribini naomba tuishie hapo bana!!!!
Yesu wangu Iribini naomba tuishie hapo bana!!!!
Chagua moja ambalo ni afadhali hapo:
Mumeo kumega mwanamke
Mumeo kumegwa na dume jenzie
Mumeo kumega dume jenzie
Usikimbie kivuli mamushka! Jibu fasta nataka kuwahi kaunta.
We mama maswali gani tena haya? (Sorry nime assume Mom = Mama)We ni mwanaume au mwanamke? icje kkua ni ww!
JIBU SAHIHI NI HILI:Na kama hubby anakula dume jenzie?
bht ameniuliza:HILI NALO ni bora sana kwa mke mwenye ndoa yake!
mimi nimeshindwa kumjibu,kwasababu kiongozi wa msafara ameshamaliza kazi.bht jibu HAPA:Goeff unamaanisha????
kiongozi hebu pitia chawote nikupe biaChagua moja ambalo ni afadhali hapo:
Mumeo kumega mwanamke
Mumeo kumegwa na dume jenzie
Mumeo kumega dume jenzie
Usikimbie kivuli mamushka! Jibu fasta nataka kuwahi kaunta.
Ahaaa! Easy:Dah! And what if ukigundua kwamba wife anasagwa na mwanamke mwenzie?