Lipi duka zuri la jeans za kiume Dar es Salaam?

Lipi duka zuri la jeans za kiume Dar es Salaam?

Gushleviv

JF-Expert Member
Joined
Mar 14, 2011
Posts
3,475
Reaction score
5,290
Wadau mliopo Dar naomba Masada Ni wapi naweza kupata duka linalouza Jeans za kiume za ukweli maana Napata shida Sana ninapotafuta Jeans..hizi za mtumba Ni Za kubahatisha Sana. Nimepita maduka Kama House of jeans naona design nyingi wanazouza Ni Za kicelebrity Zaidi sasa kwa sisi raia wa kawaida inakuwa tabu kidogo. Mahitaji yangu Ni mfano wa Levis nk. Asanteni.
 
Mi nae mkubali ni azizi huyo wa house of jeans city mall na kariakoo au unasemea mwngne mkuu
 
Mi nae mkubali ni azizi huyo wa house of jeans city mall na kariakoo au unasemea mwngne mkuu
Nimetembelea Kwa huyo Aziz pale City Mall, Jeans Junction Kariakoo Na maduka mengi Jeans ninazikuta nyingi Ni hizi za kubana chini za kibongo flavour! Siku zote nimekuwa nikiagiza nje ila Kwa sasa Hali yangu kidogo Si mzuri nikaona ngoja nijaribu hapahapa lakini naona sipati vitu nataka. Kingine kiliniboa hapo lwa Aziz nilikuta Jeans nyingi Ni Za aina moja yaani fashion Jeans hizi za kubana chini wanavaa wasanii sasa Mimi napenda Jeans Standard yaani Straight and Slim fit.
 
Maduka ya Bongo nikienda Na vipimo vyangu kupata ninachotaka Ni tabu ila nikiagiza nikimpa mtu vipimo Napata kitu nachotaka..sasa Kama itashindikana itabidi nijibane tuu niendelee kuagiza.
 
Wadau mliopo Dar naomba Masada Ni wapi naweza kupata duka linalouza Jeans za kiume za ukweli maana Napata shida Sana ninapotafuta Jeans..hizi za mtumba Ni Za kubahatisha Sana. Nimepita maduka Kama House of jeans naona design nyingi wanazouza Ni Za kicelebrity Zaidi sasa kwa sisi raia wa kawaida inakuwa tabu kidogo. Mahitaji yangu Ni mfano wa Levis nk. Asanteni.
Levi's store PPF Tower. Jiandae 501 around 160,000 last time i checked!
 
Mkuu kwa hapa town utaumiza kichwa tu,

Maduka mengi bidhaa zao zinafanana,

Inakuwa ngumu kupata kitu tofauti.
 
Back
Top Bottom