Demu mmoja amenitesa sana na hiyo kitu aiseeh ! Yaani ananifanisha na mabwana zake wa zamanii, iliniuma saaana ! Halafu ana kiburi ile mbaya. Siku ya kumwaaga nilimuonyesha nina furaha sanaa, nikamletea keki kuuubwa nimeiandika 'thanks for your love !!' then baada ya hapo nikasepa jumla, no sms no call. Hakuamini, ila inataka moyo ooh hoo!
sijuhi hata nitumie lugha gani maana nitakacho andika hapa lazima watanibrock au wataibana msg yanguSipendi mpenzi wangu aniambie story za mpenzi wake wa zamani.
Sipendi mpenzi wangu anidanganye .. hata kwa kitu kidogo.
duh!wewe ni noma!!unaweza kuua mtu
wangu anavaa gauni na suruali na sweta juu na kichwani anafunga kilemba kinafungiwa shingoni ,,,,,,,,,,,sipendi