Lipi jina "wabunge wa bunge la katiba" au "wajumbe wa bunge la katiba"

Lipi jina "wabunge wa bunge la katiba" au "wajumbe wa bunge la katiba"

Future president

Senior Member
Joined
Dec 30, 2013
Posts
144
Reaction score
39
Habari zenu wana jf,napenda tuelimishe watz wenzetu kuhusu jina halisi la hawa wadau wanaojadili rasimu ya pili ya katiba ya tanzania,ni jina lipi ambalo wanaitwa,mana nikipitia vyombo vingi vya habari wanachanganya wengine husema "wabunge wa bunge la katiba" wengine wajumbe wa bunge la katiba ipi sahihi
 
Back
Top Bottom