Lipi jukwaa bora kwako hapa JF

Ultimate

JF-Expert Member
Joined
Nov 29, 2016
Posts
739
Reaction score
1,888
Kila member hapa jf, kuna jukwaa moja analipenda sana yani uki log in tu break ya kwanza ni hilo jukwaa.
Mm jukwaa nalo likubali sana hapa jf ni -Jamii photos- na pia kwenye hili jukwaa Thread nayo ikubali ni -JF V.A.R- hili jukwaa nalikubali kwa sababu picha nyingi zinavutia na nyingine zinafurahisa pia mda wa kukua kusoma maelezo kwangu ni mdogo nikiona tu picha naelewa haraka
je? Jukwaa lako ni lipi?, na nini kinakuvutia kwenye hilo jukwaa?.
 
huwa nazamaga jukwaa lolote...kuendana na mood's ya wakati huo..
 
Jukwaa la Jamii Intelligence kule mi ni msomaji wa Comments tu.
Na pia kule kwa Chief-Mkwawa.

MMU jukwaa la kishetani lile Ukizama tu mule kamwe hautoki utapenda usomage post muda wote. hivyo lilinishinda.
 
Jukwaa la siasa,intelligence,habari na hoja mchanganyiko..International na Celebrities.
 
Lolote lile kulingana na uzi uliopo naweza sahau kabisa kuingia Majukwaa mengine.
Nikifungua tu lazima nisome kwanza top heading kama hazivutii na sjaandika uzi wangu! Lazima niperuzi jukwaa la SIASA na MMU.
 
inteligence, tech, na chit chat ndio majukwaa yangu pendwa
 
JF hamna jukwaa la wakubwa hizo ni properganda kama lipo kweli @mod niunganishe na mm nipate kuhakiki

Lipo Mkuu..omba account number kwa mods ulipie kiingilio upate access..
 
JF hamna jukwaa la wakubwa hizo ni properganda kama lipo kweli @mod niunganishe na mm nipate kuhakiki
Uwe unauliza vizur kwanza, Pia nikushauri Huko sio pakwenda huwezi kutoka nakuambia huwezi kutoka, Mi binafsi nimeona mi sio mkubwa wangenitoa tuu ila ndo ivo sasa.
 
Sijawahi kuingia JF nikaenda kutafuta thread kwa kupitia jukwaa fulani. Zaidi ya kuutafuta "Uzi wa Vyakula" na jukwaa la Sports kwenye nyuzi za Liverpool, Man U, Chelsea

Mimi huwa na scroll tu nikikutana na uzi unaonibamba nazama nikiona poa kuchangia nachangia kama ni chenga napita kimya.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…