Lipi neno sahihi

Emc2

JF-Expert Member
Joined
Sep 26, 2011
Posts
16,808
Reaction score
16,887
Samahani wana JF Kunamaneno fulani ya kiswahili yamekuwa yakinichanganya.
-Neno Kukoga na Kuoga.
Mimi nahisi neno kukoga linatokana na neno mokogo. Lakini neno hili kukoga limekuwa likitumiwa hata mtu akienda bafuni kuoga anasema naenda kukoga.

Jamani naomba ufafanuzi juu ya hili
 
Kukoga =kulingishia,kuonyea Kuoga=Kujiswafi mwili mzima ukiwa mtupu.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…