Mentor
JF-Expert Member
- Oct 14, 2008
- 20,328
- 23,909
Salaam,
Hamjambo maashiki wa lugha aali, tukufu, adhimu, na johari ya kiswahili.
Ama baada ya salamu naomba mnisaidie kutongoa jambo lililonitatiza kama kichwa cha uzi kisemavyo.
Unapomuuliza mtu kutaka kujua jambo lililomfanya acheke, je unasema;
- Kipi kikuchekeshacho?
AU
- Kipi kikuchekeshechacho?
*Nimejaribu kuangalia kwenye tovuti lakini sijapata jibu la swali langu.
Natanguliza shukrani za dhati. Ikiwezekana kuninyambulia pia mzizi wa neno hilo ningefurahi zaidi.
Naomba kuwasilisha,
Mentor.
Hamjambo maashiki wa lugha aali, tukufu, adhimu, na johari ya kiswahili.
Ama baada ya salamu naomba mnisaidie kutongoa jambo lililonitatiza kama kichwa cha uzi kisemavyo.
Unapomuuliza mtu kutaka kujua jambo lililomfanya acheke, je unasema;
- Kipi kikuchekeshacho?
AU
- Kipi kikuchekeshechacho?
*Nimejaribu kuangalia kwenye tovuti lakini sijapata jibu la swali langu.
Natanguliza shukrani za dhati. Ikiwezekana kuninyambulia pia mzizi wa neno hilo ningefurahi zaidi.
Naomba kuwasilisha,
Mentor.