Njowepo JF-Expert Member Joined Feb 26, 2008 Posts 9,710 Reaction score 2,240 Oct 24, 2010 #1 MY TAKE These two need to join hands right now kabla ya jpli for our nations sake.Am sure Lipumba will be useful kwenye masuala ya uchumi chini ya serikali ya CHADEMA
MY TAKE These two need to join hands right now kabla ya jpli for our nations sake.Am sure Lipumba will be useful kwenye masuala ya uchumi chini ya serikali ya CHADEMA
B Babuyao JF-Expert Member Joined Jun 6, 2009 Posts 1,741 Reaction score 272 Oct 24, 2010 #2 Ingekuwa inawezekana ingekuwa bomba sana. lakini mmmh, sijui kama inawezekana maana CUF imefunga ndoa na ccm. Itakuwa ngumu kuingia kwenye mitara.
Ingekuwa inawezekana ingekuwa bomba sana. lakini mmmh, sijui kama inawezekana maana CUF imefunga ndoa na ccm. Itakuwa ngumu kuingia kwenye mitara.