Lipumba hana Kesi ya kujibu

Mwanjelwa

JF-Expert Member
Joined
Jul 29, 2007
Posts
956
Reaction score
146
Habari kutoka ndani ya jopo la waamuaji wa kesi ya Liyumba zinasema kwamba Lipumba hana kesi ya kujibu. Hii ilikuwa inategemewa kama ilivyo kesi ya Mramba and company.
 
Lipumba au Liyumba? Na kwa nini hana kesi ya kujibu kama ni yeye Liyumba? Kama ni "Lipumba" sijawahi kusikia kama ana kesi yoyote!
 
siku zote niliamini kuwa hatimaye ataachiwa huru!

kwa mtu yoyote anayejua corporate governance, hahitaji hata wakili kushunda kesi alyoshitakiwa liyumba au akina mramba, watashinda tu. kumbuka naibu gavana alivyojiumauma katika ushahidi wake.

mawakili wa liyumba wanacheza na tricks za corporate governance tu
 
nauliza swali:


Katika marekebisho ya sheria kumi na tatu yaliyopitishwa na bunge, aliyoyafanya State Attoney hakuna sgeria zitakazowabana wahujumu uchumi hawa wa kesi ya BOT na EPA pia akina mRamba.??

Mwenye uelewa hapo JF
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…