Liquid fund na bond fund kwa mtaji wa 10M utt Amis faida yake ipoje

Liquid fund na bond fund kwa mtaji wa 10M utt Amis faida yake ipoje

Mfuko wa liquid
Faida utapata Kama laki na Zaidi kidogo

Screenshot_20240428-180732.png
 
Pia wazoefu watueleze system ya UTT inatoa percent siku za kazi tuu yani (Mon - Fri) au ni siku zote haijalishi ni w/end au public holidays ,Me nna hisi mambo mawili 👇🏻

Moja

Inawezekana system yao haifanyi kazi siku za w/end na public holidays lakini percent ya hizo siku inakuja kuingia siku ya week itakayofuata

Mbili

Inawezekana system yao imelenga kutoa percent kwa siku za kazi tuu yani (Mon-Fri)

Wenye uzoefu zaidi watakuja kutupa mwanga
 
Pia wazoefu watueleze system ya UTT inatoa percent siku za kazi tuu yani (Mon - Fri) au ni siku zote haijalishi ni w/end au public holidays ,Me nna hisi mambo mawili 👇🏻

Moja

Inawezekana system yao haifanyi kazi siku za w/end na public holidays lakini percent ya hizo siku inakuja kuingia siku ya week itakayofuata

Mbili

Inawezekana system yao imelenga kutoa percent kwa siku za kazi tuu yani (Mon-Fri)

Wenye uzoefu zaidi watakuja kutupa mwanga
Kaka ni "Moja"

Nilimsaidia jamaa kuwekeza huko, na nikawa nafuatilia hesabu za kila siku pamoja na weekend.. Nikaja kung'amua yafuatayo;

1. Wanafanya kazi Mon - Fri isipokua siku za sikukuu.
2. Wana post maongezeko ya thamani za vipande "by end of work hours" ya siku ya MWISHO ya kazi (kabla tu ya siku hiyo ya kupost), hivyo Wed wanapost za Tue, Thur za Wed, Frid za Thur, Mon za Friday, Tue za Mon LAKINI HII inakuwa muendelezo wa Sat, Sun na Mon - kwa mfano Kama Sat thamani ya kipande ilifikia 100.1001, Sun ikasogea kuwa 100.2003, Mon akaenda kuwa 100.3005 BASI Tue watapost thamani ya kipande ya 100.3005 (inayojumuisha za Sat, Sun na Mon).
3. KILA wanapo-post ongezeko la thamani za viande, pia hufanya mahesabu ya Muekezaji - hivyo utaona kwenye akaunti yako muongezeko UNAOTAKIWA UENDANE NA THAMANI MPYA YA KIPANDE.

Nimejifunza mingine pia, lakini kwa kujibu swali lako nafikiri hii inatosha.

Angalizo: Jibu hili limetokana na ufatiliaji wangu wa akaunti ya Ukwasi (Liquid Fund) ambayo niliifuatilia kwa karibu kwa mwezi mzima nikiwa nimepewa jukumu lakufanya hivyo na muhusika wa akaunti hiyo. Nipo tayari kusahihishwa.
 
Kaka ni "Moja"

Nilimsaidia jamda kuwekeza huko, na nikawa nafuatilia hesabu za kila siku pamoja na weekend.. Nikaja kung'amua yafuatayo;

1. Wanafanya kazi Mon - Fri isipokua siku za sikukuu.
2. Wana post maongezeko ya thamani za vipande "by end of work hours" ya siku ya MWISHO ya kazi (kabla tu ya siku hiyo ya kupost), hivyo Wed wanapost za Tue, Thur za Wed, Frid za Thur, Mon za Friday, Tue za Mon LAKINI HII inakuwa muendelezo wa Sat, Sun na Mon - kwa mfano Kama Sat thamani ya kipande ilifikia 100.1001, Sun ikasoge kuwa 100.2003, Mon akaenda kurwa 100.3005 BASI Tue watapost thamani ya kipande ya 100.3005 (inayojumuisha za Sat, Sun na Mon).
3. KILA wanapo-post ongezeko la thamani za viande, pia hufanya mahesabu ya Muekezaji - hivyo utaona kwenye akaunti yako muongezeko UNAOTAKIWA UENDANE NA THAMANI MPYA YA KIPANDE.

Nimejifunza mingine pia, lakini kwa kujibu swali lako nafikiri hii inatosha.

Angalizo: Jibu hili limetokana na ufatiliaji wangu wa akaunti ya Ukwasi (Liquid Fund) ambayo niliifuatilia kwa karibu kwa mwezi mzima nikiwa nimepewa jukumu lakkufanya hivyo na muhusika wa akaunti hiyo. Nipo tayari kusahihishwa.
Asante sana mkuu kwa hili
 
Kaka ni "Moja"

Nilimsaidia jamda kuwekeza huko, na nikawa nafuatilia hesabu za kila siku pamoja na weekend.. Nikaja kung'amua yafuatayo;

1. Wanafanya kazi Mon - Fri isipokua siku za sikukuu.
2. Wana post maongezeko ya thamani za vipande "by end of work hours" ya siku ya MWISHO ya kazi (kabla tu ya siku hiyo ya kupost), hivyo Wed wanapost za Tue, Thur za Wed, Frid za Thur, Mon za Friday, Tue za Mon LAKINI HII inakuwa muendelezo wa Sat, Sun na Mon - kwa mfano Kama Sat thamani ya kipande ilifikia 100.1001, Sun ikasoge kuwa 100.2003, Mon akaenda kurwa 100.3005 BASI Tue watapost thamani ya kipande ya 100.3005 (inayojumuisha za Sat, Sun na Mon).
3. KILA wanapo-post ongezeko la thamani za viande, pia hufanya mahesabu ya Muekezaji - hivyo utaona kwenye akaunti yako muongezeko UNAOTAKIWA UENDANE NA THAMANI MPYA YA KIPANDE.

Nimejifunza mingine pia, lakini kwa kujibu swali lako nafikiri hii inatosha.

Angalizo: Jibu hili limetokana na ufatiliaji wangu wa akaunti ya Ukwasi (Liquid Fund) ambayo niliifuatilia kwa karibu kwa mwezi mzima nikiwa nimepewa jukumu lakkufanya hivyo na muhusika wa akaunti hiyo. Nipo tayari kusahihishwa.
Shukrani mkuu,
Mimi pia nlifatilia mwenyewe nkawa naona siku ya J4 ndo mapato yanaongezeka sana ,nkaja kujua ni mapato ya siku tatu
 
Kwa vile bond za UTT zimejifunika kwa mapazia ya kioo, mbuzi wa maziwa waliruka juu ya mnara wa kiberiti, wakipiga kelele za samahani kwa matawi ya dhahabu. Ndani ya ndoo ya maji, ndoto za ufukara zilicheka kwa sauti ya radi, huku paka akijifunika kofia ya mvua. Bila kusubiri, farasi wa upepo walikimbia barabarani, wakipiga makofi na kushangilia uzi wa kijani kibichi uliojaa nyoka wa fedha.
 
Ikiwa nimeweka fedha zangu na nikahitaji kujiondoa, naweza chukua fedha zangu zote kwa UTT?

Quote Reply
Report Edit
Yes mkuu inawezekana, Lakini pia mifuko imetofautiana terms na conditions
Mfano mifuko hii 👇🏻
Jikimu fund
Liquid fund
Umoja fund

Unaweza ukachukua fedha zako muda wowote hata siku moja baada ya kufungua account

Ila mifuko hii

Bond fund
Wekeza maisha fund

Kuna taratibu za tofauti kidogo

Bond fund
Ukishafungua A/C huruhusiwi kutoa pesa mpaka miezi 3-6 ipite kwanza ndo utaweza kutoa pesa zako

Wekeza maisha fund
Ukishafungua A/C huruhusiwi kutoa pesa katika Kipindi cha miaka 10, japo ikisha pita miaka 5 unaweza ukatoa kiasi cha pesa zako, ila kama unataka kutoa zote itabidi usubiri mpaka miaks 10 ipite
 
Back
Top Bottom