Karibu tujifunze lishe Bora zenye Kinga mwilini
1: Kuna lishe ya protini
Hii lishe usaifia nu lishe inayoitajika mwilini kwa Kasi kubwa kwani husaidia kukuza Mwili, pia huzuia magonjwa Kama kwashiakoo, marasmas na kazalika unashauria kutumia Sana
2: Carbohydrate au wanga
Lishe hiii Sina tatizo nayo Sana Kwan watu wengi hutumia, huzuia magonjwa Kama kupotewa na joto mwilini pia nguvu, hii lishe kazi yake n kuongeza nguvu pia kuwezesha joto mwilini
3: Raughage au Vyakula vyenye asili ya kambakamba
Hii upatikana katika Vyakula Kama ndizi. Hii huzuia magonjwa Kama constipation au stuli
Asante Sana!
Karibu tujadili pamoja
1: Kuna lishe ya protini
Hii lishe usaifia nu lishe inayoitajika mwilini kwa Kasi kubwa kwani husaidia kukuza Mwili, pia huzuia magonjwa Kama kwashiakoo, marasmas na kazalika unashauria kutumia Sana
2: Carbohydrate au wanga
Lishe hiii Sina tatizo nayo Sana Kwan watu wengi hutumia, huzuia magonjwa Kama kupotewa na joto mwilini pia nguvu, hii lishe kazi yake n kuongeza nguvu pia kuwezesha joto mwilini
3: Raughage au Vyakula vyenye asili ya kambakamba
Hii upatikana katika Vyakula Kama ndizi. Hii huzuia magonjwa Kama constipation au stuli
Asante Sana!
Karibu tujadili pamoja