Pre GE2025 Lissu akiri Chadema kupoteza maelfu ya Wanachama kwa mpigo

Pre GE2025 Lissu akiri Chadema kupoteza maelfu ya Wanachama kwa mpigo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

jamal9090

New Member
Joined
Nov 14, 2024
Posts
2
Reaction score
6
π‹πˆπ’π’π” π€πŠπˆπ‘πˆ π‚π‡π€πƒπ„πŒπ€ πŠπ”ππŽπ“π„π™π€ πŒπ€π„π‹π…π” π˜π€ π–π€ππ€π‚π‡π€πŒπ€ πŠπ–π€ πŒππˆπ†πŽ.
IMG-20241230-WA0160.jpg

Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu ameonesha mfadhaiko mkubwa, baada ya kukiri hadharani kuwa chama chake kimepoteza zaidi ya wanachama 50,000 kwa mpigo.

Ushuhuda huo umetolewa na Lissu baada ya kuonekana kuna kundi kubwa la wanachama wa CHADEMA limegoma kulipia ada za uanachama, huku wengine wakiacha kukiunga mkono chama hicho katika shughuli mbalimbali.

Hofu na mashaka makubwa yametanda ndani ya CHADEMA kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025, kutokana na chama chao kupoteza wafuasi hali inayoonyesha kushuka kwa kasi kwa ushawishi wake kwenye jamii.

Wanazuoni wa sayansi ya siasa wanaihusisha hali hiyo na migogoro iliyodumu kwa muda mrefu, ambayo imezalisha makundi na mpasuko mkubwa ndani ya CHADEMA ambao ni ishara ya anguko kubwa la kisiasa la chama hicho, kwani tayari kimeonekana kuyumba na kupoteza mvuto.

#JamboTv
#TupoKukuhabarisha
 
π‹πˆπ’π’π” π€πŠπˆπ‘πˆ π‚π‡π€πƒπ„πŒπ€ πŠπ”ππŽπ“π„π™π€ πŒπ€π„π‹π…π” π˜π€ π–π€ππ€π‚π‡π€πŒπ€ πŠπ–π€ πŒππˆπ†πŽ.
View attachment 3188521
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu ameonesha mfadhaiko mkubwa, baada ya kukiri hadharani kuwa chama chake kimepoteza zaidi ya wanachama 50,000 kwa mpigo.

Ushuhuda huo umetolewa na Lissu baada ya kuonekana kuna kundi kubwa la wanachama wa CHADEMA limegoma kulipia ada za uanachama, huku wengine wakiacha kukiunga mkono chama hicho katika shughuli mbalimbali.

Hofu na mashaka makubwa yametanda ndani ya CHADEMA kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025, kutokana na chama chao kupoteza wafuasi hali inayoonyesha kushuka kwa kasi kwa ushawishi wake kwenye jamii.

Wanazuoni wa sayansi ya siasa wanaihusisha hali hiyo na migogoro iliyodumu kwa muda mrefu, ambayo imezalisha makundi na mpasuko mkubwa ndani ya CHADEMA ambao ni ishara ya anguko kubwa la kisiasa la chama hicho, kwani tayari kimeonekana kuyumba na kupoteza mvuto.

#JamboTv
#TupoKukuhabarisha
huku na yeye kama kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi akipotea jumla jumla kwenye medani ya siasa za Tanzania, right?

mzalendo gani atalipia kadi yake kwenye chama kilichoingiliwa na kibaraka?πŸ’
 
Chadema kina wapenzi na wafuasi wengi kuliko wanachama. Kwa taarifa yako tu, Chadema kitabaki imara awepo Mwenyekiti Mbowe au aje Lissu.
Aliondoka Zitto na Dr Slaa mbona chama kilibaki imara?
Mtu wa kukibomoa chama na mpaka sasa kashaanza kukibomoa ni mh Lissu. Kwa jinsi ambavyo amekuwa akiropokaropoka kama mlevi, siku akipigwa chini kwenye uchaguzi unaokuja atakuwa sawa na Msigwa.
Ajiandae tu kuwa camander asiye na cheo chochote.
Ila apelekwe mstari wa mbele kupambana na ccm
 
Ushuhuda huo umetolewa na Lissu baada ya kuonekana kuna kundi kubwa la wanachama wa CHADEMA limegoma kulipia ada za uanachama, huku wengine wakiacha kukiunga mkono chama hicho katika shughuli mbalimbali.

Hofu na mashaka makubwa yametanda ndani ya CHADEMA kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025, kutokana na chama chao kupoteza wafuasi hali inayoonyesha kushuka kwa kasi kwa ushawishi wake kwenye jamii.
Kigwagala anasemaje
 
π‹πˆπ’π’π” π€πŠπˆπ‘πˆ π‚π‡π€πƒπ„πŒπ€ πŠπ”ππŽπ“π„π™π€ πŒπ€π„π‹π…π” π˜π€ π–π€ππ€π‚π‡π€πŒπ€ πŠπ–π€ πŒππˆπ†πŽ.
View attachment 3188521
Makamu Mwenyekiti wa CHADEMA, Tundu Lissu ameonesha mfadhaiko mkubwa, baada ya kukiri hadharani kuwa chama chake kimepoteza zaidi ya wanachama 50,000 kwa mpigo.

Ushuhuda huo umetolewa na Lissu baada ya kuonekana kuna kundi kubwa la wanachama wa CHADEMA limegoma kulipia ada za uanachama, huku wengine wakiacha kukiunga mkono chama hicho katika shughuli mbalimbali.

Hofu na mashaka makubwa yametanda ndani ya CHADEMA kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025, kutokana na chama chao kupoteza wafuasi hali inayoonyesha kushuka kwa kasi kwa ushawishi wake kwenye jamii.

Wanazuoni wa sayansi ya siasa wanaihusisha hali hiyo na migogoro iliyodumu kwa muda mrefu, ambayo imezalisha makundi na mpasuko mkubwa ndani ya CHADEMA ambao ni ishara ya anguko kubwa la kisiasa la chama hicho, kwani tayari kimeonekana kuyumba na kupoteza mvuto.

#JamboTv
#TupoKukuhabarisha
Uzuri wa lissu ni ukweli na uwazi...
 
Chadema kina wapenzi na wafuasi wengi kuliko wanachama. Kwa taarifa yako tu, Chadema kitabaki imara awepo Mwenyekiti Mbowe au aje Lissu.
Aliondoka Zitto na Dr Slaa mbona chama kilibaki imara?
Mtu wa kukibomoa chama na mpaka sasa kashaanza kukibomoa ni mh Lissu. Kwa jinsi ambavyo amekuwa akiropokaropoka kama mlevi, siku akipigwa chini kwenye uchaguzi unaokuja atakuwa sawa na Msigwa.
Ajiandae tu kuwa camander asiye na cheo chochote.
Ila apelekwe mstari wa mbele kupambana na ccm
Ila kuna watu Mungu aliwanyima akili, Lissu anaisaidia CDM kwa sasa, CDM haina inachomsaidia Lissu, Uwezo wa mtu ndo unambeba mtu..
 
huku na yeye kama kibaraka wa mabwenyenye ya magharibi akipotea jumla jumla kwenye medani ya siasa za Tanzania, right?

mzalendo gani atalipia kadi yake kwenye chama kilichoingiliwa na kibaraka?πŸ’
Utamwita kila jina ila ndiyo mwenyekiti wa CDM ajaye....yule mliyemlambisha asali lazima akae pembeni.
 
Chadema kina wapenzi na wafuasi wengi kuliko wanachama. Kwa taarifa yako tu, Chadema kitabaki imara awepo Mwenyekiti Mbowe au aje Lissu.
Aliondoka Zitto na Dr Slaa mbona chama kilibaki imara?
Mtu wa kukibomoa chama na mpaka sasa kashaanza kukibomoa ni mh Lissu. Kwa jinsi ambavyo amekuwa akiropokaropoka kama mlevi, siku akipigwa chini kwenye uchaguzi unaokuja atakuwa sawa na Msigwa.
Ajiandae tu kuwa camander asiye na cheo chochote.
Ila apelekwe mstari wa mbele kupambana na ccm
Punguza jazbq kijana
 
Back
Top Bottom