SI KWELI Lissu akiri kufukuzwa Ofisini na Mbowe

Baada ya kuitathmini taarifa hii, tumebaini kuwa si ya kweli.
Mimi huwa nikiandika mambo ya kweli JF Moderators wanaufuta Uzi wangu, ila huyu mjinga anajitungia mambo ya uongo chumbani kwake na kuleta JF ila moderators wanamwachia tu. Inaumiza Sana.
 
Upuuzi mtupu
 
Duh aisei wanasiasa bhana...! πŸ™πŸ™πŸ™
 
Sasa kama si kweli si mfute au tunywe kwanza sumu kwasababu maziwa yapo?
 
Mimi huwa nikiandika mambo ya kweli JF Moderators wanaufuta Uzi wangu, ila huyu mjinga anajitungia mambo ya uongo chumbani kwake na kuleta JF ila moderators wanamwachia tu. Inaumiza Sana.
Kuna watu wakifutiwa nyuzi zao au wakipigwa ban wanaenda kulakamika kwa wafadhili na mabalozi kwamba JF inawanyanyasa kwa kuwa wai ni LGBTQ
 
Unaona sasa! Ndio kusarambuka kwa upinzani! Ni yale ya Mrema! Kidumu chama cha mapinduzi.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…