Elections 2010 Lissu Aleta Tabu


Omar,

Hivi umewahi kujiuliza kuwa kwa nini ninakebehi tu baadhi ya watu na sio kila mtu?

Kuna waislam wangapi hapa JF? je ni wangapi ambao nimewakebehi? Umewahi kusoma majibu yangu dhidi ya watu kama Mkandara, Zitto, Mtu wa Pwani na wengineo?

Kama bado, sijawahi kutumia lugha ya kebehi kwao hata siku moja. Mimi ninajibu wale wanaoleta udini hapa kwa kebehi. Issue ya udini sikuianzisha mimi hapa. Mimi najibu moto kwa moto.

Kampeni za kistaarabu nimewaachia wengine. Umeona CCM wanavyomchafua Dr Slaa, ustaarabu wake haukusaidia chochote. CCM inabidi unawajibu kulingana na wanachokuletea. Wakikuita mdini na wewe wamwagie udini wao, wakileta mambo ya vimada, na wewe wapatie vimada vyao. Hii ndio motto yangu
 
guys, haya mambo yaweza kutokea..
 

Hii nayo ni habari!? Ama kweli watu wanakifafa.....aiseee
 

Kuna udini,ukabila au uraia kwenye hii habari?
 


That's a convoy man! Mwananchi is right. Convoys never pull-over or turn while on track. It's dangerous.
 
Watu wanasahau kuwa:
-Juzi juzi JK kawekewa mafuta ya kuchakachuliwa, mpaka sasa kituo kimefungwa
-Gari lake lilichomoka tairi Mbagala (Nafuu ya pacha)
-Mkoani Mara, msafara ulipotea njia, Askari akatolewa Kafara
-Juzi Mkoani Kagera, mtoto wa shule amekwenda ahera - hiyo kafara au waligonga mbuzi?

Jamani watu waache kejeli kwa Dr. Slaa, he is way up in outsmarting the CCM machinery with all their resources.

Wanataka kumpunguza nguvu kwa kumwibia wagombea, kumpeleka mahakamani, kutupa pingamizi lake kwa shinikizo la Tendwa kuitwa Ikulu, n.k bado wanashangaa jamaa anapeta.
 


Khaaaaa!Kweli upofu unatuingia.Hivi kumjadili mtu ambaye anaomba dhamana ya kuliongoza taifa ni kumchafua??
 
kichwa cha habari kikali zaidi ya tukio
 
huko madrassa mmeliongelea hili, unaweza kuifahamisha jamii hapa?

Lengo ilikuwa kufikisha ujumbe.Umefika?Stop asking such types of questions.Ur way of questioning's exposing ur thinking capacity.
 
Hivi ulitaka amendelee bila mafuta halkafu gari izime njiani kama zile zilizochomoka matairi na kuzimika, au huyu aliyezuia tatizo?

prevention is better than cure, well done Lissu
 
Lengo ilikuwa kufikisha ujumbe.Umefika?Stop asking such types of questions.Ur way of questioning's exposing ur thinking capacity.

bado sijaona ujumbe .. labda watu wa madrassa watakuelewa zaidi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…