Lissu alikuwa mwongeaji sana na Media akiwa makamu mwenyrkiti ,baada ya kupata uenyekiti kimyaa. Uenyekiti sio lelemama alidhani lelemama.
Kuna taarifa za ndani kuwa alichokikuta baada ya kukabidhiwa kiti hakuamini macho yake.
Kabla kushika kiti aliaminishwa kuwa Chadema ina wanachama milioni nane kumbe ilikuwa propaganda tu kufika ofisini kakuta takwimu zinaonyesha wako laki nne na waliolipia ada za mwaka ni elfu 2 tu ambao ndio wanachama hai wa Chadema.
Kwenye kikao cha makabidhiano kilichofanyika hotelini Bagamoyo Lissu aligoma katakata kuongea na waandishi wa habari akidai hicho ni kikao cha kazi hakihitaji waandishi wa habari tofauti na tabia yake alikuwa nayo akiwa makamu mwenyekiti ya kupenda media kila akiwepo ziwepo kuwa yeye anapenda uwazi wa chochote cha chama sababu chama ni cha wananchi sasa hivi kaanza kukimbia media.
Kuna taarifa za ndani kuwa alichokikuta baada ya kukabidhiwa kiti hakuamini macho yake.
Kabla kushika kiti aliaminishwa kuwa Chadema ina wanachama milioni nane kumbe ilikuwa propaganda tu kufika ofisini kakuta takwimu zinaonyesha wako laki nne na waliolipia ada za mwaka ni elfu 2 tu ambao ndio wanachama hai wa Chadema.
Kwenye kikao cha makabidhiano kilichofanyika hotelini Bagamoyo Lissu aligoma katakata kuongea na waandishi wa habari akidai hicho ni kikao cha kazi hakihitaji waandishi wa habari tofauti na tabia yake alikuwa nayo akiwa makamu mwenyekiti ya kupenda media kila akiwepo ziwepo kuwa yeye anapenda uwazi wa chochote cha chama sababu chama ni cha wananchi sasa hivi kaanza kukimbia media.