hii ni hali ya kutojiamini mh makamba katibu wa chama cha majambazi
nimetua toka mwanza dk kumi zilizopita mh makamba akiwa kiti cha mbele kwenye ndege ya airtanzania ,akaja mh tundu lisu mzee akageuza sura alipofika mh mdee akawa karibu nae mzee imani ikamshinda akamua kuama siti
tatizo lake asomi nyakati kila mara aoni mwenzake msekwa aisoma dira
pole mzee wetu mtanzania wa jana siyo yule wa leo hii
kila la kheri ukombozi ndio umeanza
We Mama Mia, mbona hii habari tayari imesharushwa neno kwa neno na "Mwahahalisi"? au ulisahau kuwa uliituma ulipokuwa ume ingia kama Mwanahalisi, ukaituma tena ulipoingia kama "Mama Mia"
niliposoma niliona alieandika kichwa cha habari akikuifaa vizuri!!!!