Uchaguzi 2020 Lissu anaongelea tu majimbo kujiamulia mambo ila haelezi gharama za uendeshaji jimbo zitatoka wapi

Uchaguzi 2020 Lissu anaongelea tu majimbo kujiamulia mambo ila haelezi gharama za uendeshaji jimbo zitatoka wapi

Criterion

JF-Expert Member
Joined
Jan 8, 2008
Posts
11,797
Reaction score
11,891
Lisu anaongelea tu majimbo kujiamulia mambo ila haelezi gharama za uendeshaji jimbo litatoa wapi

Anaeleza kijanja janja huku akificha kuwa uendeshaji jimbo unatakiwa uendeshwe kwa pesa za ndani ya jimbo ikiwemo miradi ya maendeleo

Chukulia Singida tegemeo lake kuu la uchuimi ni kuuza vidumu vya mafuta ya alizeti.hivyo vyaweza jenga barabara za lami? Kilomita moja tu ya lami inasoma Gharama ya bilioni moja .Hivyo vidumu vya alizeti vyaweza jenga barabara na kulipa mishahara ya wafayakazi wa jimbo?

Afafanue pia kuhusu gharama za kuendesha jimbo asilaghai tu ohh mujiamulie wenyewe!!!

Ukimsikiliza uaona kabisa mlaghai kwenye gharama Za uendeshaji na za miradi ya maendeleo zitakako toka hagusi anahamia hoja nyingine mbio

Ndiyo sababu nakuambia siku zote kwamba wewe ni pumbavu kwa kuwa hujui kama hujui, huwezi kujifunza na hujui kwamba wewe ni lijinga tu. Ishia kule.
 
Back
Top Bottom