Tundu Lissu akizungumza na BBC Swahili kuelekea Uchaguzi wa ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa uliofanyika Januari 21, kuhusu mabango na tofauti ya Kenya na Tanzania! ukweli mtupu akidai, "Somo kubwa la Kenya ni wamefikaje hapo walipo, ukisafiri kutoka Nairobi kuja Arusha ni Dunia mbili tofauti, kati ya Nairobi mpaka Nambanga na Nambanga mpaka Arusha"
"Ukitoka Nairobi mpaka Namanga alama unazoona barabarani mabango nini...biashara, uchumi watu wako kazini, kama ni mashamba ni mashamba kweli. Ukitoka Namanga (uhamiaji) na kuingia hivi (Tanzania) mamaa, mama, mama, mama. Picha njia nzima ni Mama, nyie hamna biashara yoyote ya kiuchumi, biashara yenu ya matangazo ni ya Mama!"
Soma, Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%
"Ukitoka Nairobi mpaka Namanga alama unazoona barabarani mabango nini...biashara, uchumi watu wako kazini, kama ni mashamba ni mashamba kweli. Ukitoka Namanga (uhamiaji) na kuingia hivi (Tanzania) mamaa, mama, mama, mama. Picha njia nzima ni Mama, nyie hamna biashara yoyote ya kiuchumi, biashara yenu ya matangazo ni ya Mama!"
Soma, Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%