Pre GE2025 Lissu asema tofauti ya mabango Kenya na Tanzania ni kubwa, akidai Tanzania matangazo yote ni ya Mama, hakuna biashara ya kiuchumi

Pre GE2025 Lissu asema tofauti ya mabango Kenya na Tanzania ni kubwa, akidai Tanzania matangazo yote ni ya Mama, hakuna biashara ya kiuchumi

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Kamundu

Platinum Member
Joined
Nov 22, 2006
Posts
7,823
Reaction score
10,857
Tundu Lissu akizungumza na BBC Swahili kuelekea Uchaguzi wa ndani ya Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) Taifa uliofanyika Januari 21, kuhusu mabango na tofauti ya Kenya na Tanzania! ukweli mtupu akidai, "Somo kubwa la Kenya ni wamefikaje hapo walipo, ukisafiri kutoka Nairobi kuja Arusha ni Dunia mbili tofauti, kati ya Nairobi mpaka Nambanga na Nambanga mpaka Arusha"

"Ukitoka Nairobi mpaka Namanga alama unazoona barabarani mabango nini...biashara, uchumi watu wako kazini, kama ni mashamba ni mashamba kweli. Ukitoka Namanga (uhamiaji) na kuingia hivi (Tanzania) mamaa, mama, mama, mama. Picha njia nzima ni Mama, nyie hamna biashara yoyote ya kiuchumi, biashara yenu ya matangazo ni ya Mama!"



Soma, Pia: Yanayojiri Uchaguzi Mkuu CHADEMA 2025: Tundu Lissu ashinda nafasi ya Mwenyekiti CHADEMA Taifa kwa Kura 513 sawa na 51.5%
 
Kwakweli ni aibu, yaani mtu tayari ni rais wa nchi lakini bado inatumika nguvu kuubwa kumtangaza as if hajulikani kabisa...kuna tatizo!!!.
 
Tanzania tumefikia hatua hatari sana ya uchawa kiasi ambacho saivi hadi mambo ya msingi yanategemea uchawa.

Endapo CCM isipopumzika hii nchi ipo kwenye hatari kubwa sana ya kuanguka kwenye mikono watu hatari maana wameshaona siasa za hii nchi kupitia Chama cha Mapinduzi zimeshafikia hatua hatari sana ya kuzalisha na kutengeneza watu wa hovyo
 
Kwakweli ni aibu, yaani mtu tayari ni rais wa nchi lakini bado inatumika nguvu kuubwa kumtangaza as if hajulikani kabisa...kuna tatizo!!!.
Tatizo lako ufinyu wa akili.Pedi,cocacola,Azam Tv hakuna asiyezijua lakini kutwa matangazo
 
CHADEMA imepita salama katika Uchaguzi,

Mungu ibariki CHADEMA.
 
Back
Top Bottom