kwa jicho la mbali naweza sema Lissu alipanga haya yanayotokea siku nyingi, pengine hata zaidi ya miezi 12 nyuma, na aliamua wapumbaza team Mbowe.
Kwa hali ilivyo sasa Team Mbowe wanacheza game ya Lissu. Siku BoniYai anatangaza vita hadharani, wenzake walikuwa wanamcheka pembeni kwamba kete zao zipo salama.
Kwa mtu aliyejiandaa muda mrefu hivi huwezi jua hata next move ni nini, ila options ni chache tu.
1. Lissu hawezi shinda uenyekiti. Zile technic zinazotumiwaga na Chama kubwa za wajumbe kutekwa, kufungiwa hotelini, wale wanywe huku simu zao zimekusanywa sasa ndio tegemeo pekee la team Mboowe. Na hii itafanya kazi. Njaa ni mbaya sana, hao wajumbe wengi ni njaa.
2. Uchaguzi ukiisha Chadema hapatakuwa kunakalika tena, Lissu atahamia Chama kingine au ataanzisha chama chake, na kitapata uungwaji mkono ndani na nje ya nchi.
3. Lissu is upto 2025 presidential election, kitu ambacho kina Mboowe hawataki, wanataka mtu laini laini kwa uchaguzi wa 2025, CCM ipite kwa changamoto nafuu, kwa hili Lissu ashajiandaa kugombea kupitia chama kingine/kipya.
Baada ya 2025 nguvu ya ACT itakuwa juu ya Chadema. Atleast ACT itaokoteza wabunge wengi Zanzibar, Chadema haitofikisha majimbo 8 bara. Mvuto utakuwa umepotea kabisa.
Kwa hali ilivyo sasa Team Mbowe wanacheza game ya Lissu. Siku BoniYai anatangaza vita hadharani, wenzake walikuwa wanamcheka pembeni kwamba kete zao zipo salama.
Kwa mtu aliyejiandaa muda mrefu hivi huwezi jua hata next move ni nini, ila options ni chache tu.
1. Lissu hawezi shinda uenyekiti. Zile technic zinazotumiwaga na Chama kubwa za wajumbe kutekwa, kufungiwa hotelini, wale wanywe huku simu zao zimekusanywa sasa ndio tegemeo pekee la team Mboowe. Na hii itafanya kazi. Njaa ni mbaya sana, hao wajumbe wengi ni njaa.
2. Uchaguzi ukiisha Chadema hapatakuwa kunakalika tena, Lissu atahamia Chama kingine au ataanzisha chama chake, na kitapata uungwaji mkono ndani na nje ya nchi.
3. Lissu is upto 2025 presidential election, kitu ambacho kina Mboowe hawataki, wanataka mtu laini laini kwa uchaguzi wa 2025, CCM ipite kwa changamoto nafuu, kwa hili Lissu ashajiandaa kugombea kupitia chama kingine/kipya.
Baada ya 2025 nguvu ya ACT itakuwa juu ya Chadema. Atleast ACT itaokoteza wabunge wengi Zanzibar, Chadema haitofikisha majimbo 8 bara. Mvuto utakuwa umepotea kabisa.