Lissu hafai kuwa Mwenyekiti wa chama chochote cha siasa

Lissu hafai kuwa Mwenyekiti wa chama chochote cha siasa

Administer

JF-Expert Member
Joined
Feb 9, 2020
Posts
1,271
Reaction score
1,604
Lissu anafiti kwenye taaluma aliyonayo ya sheria lakini hana sifa ya kuwa Mwenyekiti wa chama chochote cha siasa.

Lissu ni mlopokaji, ana lugha mbovu ni mtu ambaye hana utulivu, busara ndiyo kakosa kabisa. Ni mtu ambaye anapenda machafuko katika nchi, ana amini maandamano ya wananchi ni NJIA pekee ya kufikia malengo.Lisu hamfikii hata Rungwe Mzee wa ubwabwa
 
Lisu anafiti kwenye taaluma aliyonayo ya sheria laki hana sifa ya kuwa Mwenyekiti wa chama chochote cha siasa.Lisu ni mlopokaji,ana lugha mbovu ni mtu ambaye hana utulivu busara ndiyo kakosa kabisa.Ni mtu ambaye anapenda machafuko katika nchi,ana amini maandamano ya wananchi ni NJIA pekee ya kufikia malengo.
100%
 
Mbowe alikuwa anamfunga kamba Kikeke wa London 😂😂😂

Nchi Ngumu Sana hii dadeki

Mwenyekiti anadanganya Mchana kweupe na kutataka kulichafua Kanisa Moja Takatifu La Mitume 😂😂😂🔥🔥🔥
 
Waandishi wameshajua hilo,kila wakimuona wanamsogezea mic aongee maana wanajua ataongea hata siri.
 
Hatutaki mwenyekiti muongomuongo, tunataka mwenyekiti mkweli.

Mbowe kama anamuongopea Kikeke kwenye ishu ndogo ya kugombea uwenyekiti, hebu tujiulize keshatuongopea mangapi!
 
Ni kujiandaa Kisaikolojia.
Lissu ndiye the next Chairperson wa CDM.
 
Kumbe kushindwa uraisi kwa Lisu ilikuwa halali kabisa,wala hakuibiwa hata kura
 
Lissu anafiti kwenye taaluma aliyonayo ya sheria lakini hana sifa ya kuwa Mwenyekiti wa chama chochote cha siasa.

Lissu ni mlopokaji, ana lugha mbovu ni mtu ambaye hana utulivu, busara ndiyo kakosa kabisa. Ni mtu ambaye anapenda machafuko katika nchi, ana amini maandamano ya wananchi ni NJIA pekee ya kufikia malengo.Lisu hamfikii hata Rungwe Mzee wa ubwabwa
Tafuteni kazi za kufanya ,uchawa sio kazi
 
Back
Top Bottom