Pre GE2025 Lissu: Haki ya kupiga kura siyo haki ya Kikatiba, hata mahakama haiwezi kukusaidia ukienda kudai haki hiyo

Pre GE2025 Lissu: Haki ya kupiga kura siyo haki ya Kikatiba, hata mahakama haiwezi kukusaidia ukienda kudai haki hiyo

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Mkalukungone mwamba

JF-Expert Member
Joined
Aug 29, 2022
Posts
862
Reaction score
1,755
"Katiba yetu ilivyoandikwa zile zinazoitwa haki za kikatiba zinaanzia Ibara ya 12 mpaka Ibara ya 29: Haki ya Kuishi, Haki ya kuwa huru, haki ya maoni, haki ya kushiriki shughuli za umma nakadhalika, hizo zinazoitwa haki za binadamu ndizo haki za kikatiba, kama kuna kitu hakijaandikwa kuanzia hiyo Ibara ya 12- 29 ya katiba hiyo siyo haki ya kikatiba.

Ukienda mahakamani ukasema nimekataliwa kuandikishwa kupiga kura, nimenyimwa haki yangu ya kikatiba, Mahakama Kuu itakutupa nje kwasababu hiyo inayoitwa haki ya kupiga kura haipo katika zile ibara nilizozisema, maana yake ni kwamba tumewekewa inayoitwa haki lakini hatuna namna yoyote ile ya kuitekeleza, tukinyimwa hatuwezi kwenda mahakamani hatuwezi kwenda popote kwasababu siyo haki ya kikatiba.

Soma Pia: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Matokeo yake katika hali halisi ni nini? Ni kwamba hatuandikishwi kuwa wapiga kura kama sheria ya uchaguzi inavyosema. Sheria ya uchaguzi inavyosema

 
Nampinga Lissu. Yeye mwenyewe kwa mujibu wa maandishi yako, mmeitaja Haki ya Kushiriki Shughuli Za Umma. Ni maoni yangu kuwa Kupiga Kura Ni Shughuli ya Umma na hivyo kila Mtanzania ana haki hiyo.
 
Kwani hiki kifungu kipo kwenye katiba ya nchi gani?
 

Attachments

  • IMG_20250212_173231.jpg
    IMG_20250212_173231.jpg
    22.1 KB · Views: 3
Nampinga Lissu. Yeye mwenyewe kwa mujibu wa maandishi yako, mmeitaja Haki ya Kushiriki Shughuli Za Umma. Ni maoni yangu kuwa Kupiga Kura Ni Shughuli ya Umma na hivyo kila Mtanzania ana haki hiyo.
Katiba inasemaje?
 
"Katiba yetu ilivyoandikwa zile zinazoitwa haki za kikatiba zinaanzia Ibara ya 12 mpaka Ibara ya 29: Haki ya Kuishi, Haki ya kuwa huru, haki ya maoni, haki ya kushiriki shughuli za umma nakadhalika, hizo zinazoitwa haki za binadamu ndizo haki za kikatiba, kama kuna kitu hakijaandikwa kuanzia hiyo Ibara ya 12- 29 ya katiba hiyo siyo haki ya kikatiba.

Ukienda mahakamani ukasema nimekataliwa kuandikishwa kupiga kura, nimenyimwa haki yangu ya kikatiba, Mahakama Kuu itakutupa nje kwasababu hiyo inayoitwa haki ya kupiga kura haipo katika zile ibara nilizozisema, maana yake ni kwamba tumewekewa inayoitwa haki lakini hatuna namna yoyote ile ya kuitekeleza, tukinyimwa hatuwezi kwenda mahakamani hatuwezi kwenda popote kwasababu siyo haki ya kikatiba.

Matokeo yake katika hali halisi ni nini? Ni kwamba hatuandikishwi kuwa wapiga kura kama sheria ya uchaguzi inavyosema. Sheria ya uchaguzi inavyosema
Hii hatari, ina maana unaweza zuiwa kupiga kura na hakuna sehem utadai haki yako, we are in the damn hell🚮🚮
 
Usiishie kusema "kasome katiba" tuambie katiba ya wapi na ya mwaka Gani then tuambie ibara ya ngapi kiongozi.
Shida jamaa akiwalisha matango pori huwa hamtaki kukubali
 

Attachments

  • Screenshot_20250212-181229_PDF Reader Pro.jpg
    Screenshot_20250212-181229_PDF Reader Pro.jpg
    139.2 KB · Views: 3
"Katiba yetu ilivyoandikwa zile zinazoitwa haki za kikatiba zinaanzia Ibara ya 12 mpaka Ibara ya 29: Haki ya Kuishi, Haki ya kuwa huru, haki ya maoni, haki ya kushiriki shughuli za umma nakadhalika, hizo zinazoitwa haki za binadamu ndizo haki za kikatiba, kama kuna kitu hakijaandikwa kuanzia hiyo Ibara ya 12- 29 ya katiba hiyo siyo haki ya kikatiba.

Ukienda mahakamani ukasema nimekataliwa kuandikishwa kupiga kura, nimenyimwa haki yangu ya kikatiba, Mahakama Kuu itakutupa nje kwasababu hiyo inayoitwa haki ya kupiga kura haipo katika zile ibara nilizozisema, maana yake ni kwamba tumewekewa inayoitwa haki lakini hatuna namna yoyote ile ya kuitekeleza, tukinyimwa hatuwezi kwenda mahakamani hatuwezi kwenda popote kwasababu siyo haki ya kikatiba.

Soma Pia: Special Thread: Mijadala na Matukio ya Uchaguzi Mikoa yote Tanzania Bara na Zanzibar kuelekea Uchaguzi Mkuu 2025

Matokeo yake katika hali halisi ni nini? Ni kwamba hatuandikishwi kuwa wapiga kura kama sheria ya uchaguzi inavyosema. Sheria ya uchaguzi inavyosema
Anadanganya umma sababu yeye hana kadi ya mpiga kura wala hajajiandikisha!
 
Back
Top Bottom