Uchaguzi 2020 Lissu hana jipya, kama suala la wafuasi na mashabiki walikuwepo Mrema, Slaa na Lowassa

This year the full.muscles of international community will unleash enormous amount embargo we have never seen in this country, and hordes of people will be taken to the Hague.. ans their accounts will be frozen, travel bans unheard off in this country a let's be prepared pyshogically on the onslaugher of the west...simlazamisha...they are watching every kive...
 
Haya Masuala ya kutugawa kidini ndio huwa hatuyataki kabisa katiki nchi hii.

Utafiti gani huu kiajabu ajabu.

Hivi akili yako hata ile ya kuzaliwa umeiweka wapi??

Tafakari, kisha futa uzi huu(ushauri tu lakini).
 
Missile of the Nation, tafadhali naomba utuwekee ile video ya Zitto akiwahutubia wananchi wa Mihambwe kwa huyu katibu tarafa.
 
Watumishi wote kura ni kwa lissu.Mmeteseka sana miaka 5 bila kupata stahiki zenu.
 
Watu wasipomfuata mnasema Dar imemkataa.wakimfuata mnasema ohooo hata Mrema na Slaa walikuwa na watu hivyohivyo.
 
Ila kati ya watu ambao wanakutana na vikwazo vingi na vikubwa alafu hawakati tamaa, ni huyu mjamaa aiseee.

Kaponea kwenye tundu la sindano lakini bado anawapa presha na hakomi.

Huu ni mfano wa kuigwa. Najua hata akishinda hawezi kutangazwa, ila angalau anatufungua macho.

Nchi hii bado miaka kadhaa tu kuwa chini ga ccm. Kizazi hiki cha kijinga kikipita, mambo yatakaa sawa. Wanachofanya hawa jamaa ni kusafisha njia huko wanetu waendako
 
Siku hizi kuna IDs nyingi mpya humu, Unakuta moja inaanzisha thread afu anajijibu kwa ID nyingine ila mwana Lumumba ni mmoja...
 
TOFAUTI KUBWA NI WATANZANIA WA 2020, MATATIZO YAO NA UONGOZI WANAOUHITAJI KUWAVUSHA!
πŸ˜…
πŸ‘Š ✌️✌️✌️πŸ’₯
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…