Analogia Malenga
JF-Expert Member
- Feb 24, 2012
- 5,108
- 10,191
Mgombea Urais Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kwa tiketi ya CHADEMA, Tundu Lissu amesema ili uchaguzi uwe huru na haki ni lazima mawakala wote waapishwe.
Amesema hayo alipokuwa kwenye mkutano wa kampeni Mombo, amesema Sheria ya Tume ya Uchaguzi inasema mawakala wanaweza kuapishwa hata kwenye ofisi ya kata.
Sheria hiyo imekuwa kinyume kwa kuwa Tume imewataka mawakala wakaapishwe kwenye ofisi ya Mkurugenzi.
Aidha amesema amesikia Mkurugenzi wa Chato amekataa kuapisha mawakala wa CHADEMA kwa kuwa barua zimefojiwa, amehoji ni tangu lini mkurugenzi anakuwa mtaalamu wa miandiko
Amesema hayo alipokuwa kwenye mkutano wa kampeni Mombo, amesema Sheria ya Tume ya Uchaguzi inasema mawakala wanaweza kuapishwa hata kwenye ofisi ya kata.
Sheria hiyo imekuwa kinyume kwa kuwa Tume imewataka mawakala wakaapishwe kwenye ofisi ya Mkurugenzi.
Aidha amesema amesikia Mkurugenzi wa Chato amekataa kuapisha mawakala wa CHADEMA kwa kuwa barua zimefojiwa, amehoji ni tangu lini mkurugenzi anakuwa mtaalamu wa miandiko