Mindyou
JF-Expert Member
- Sep 2, 2024
- 1,869
- 4,877
Wakuu,
Ni mimi tu nime-notice kuwa kipindi ha Uchaguzi wa CHADEMA na baada ya Lissu kushinda spidi ya Intaneti imekuwa slow sana.
Ku-access imekuwa ni ngumu na siku hiyo ambayo mkutano mkuu wa CHADEMA ulikuwa unaendelea ilikuwa ni shida sana kuweza ku-stream tukio hilo.
Nakumbuka the same thing happened kwenye Uchaguzi wa mwaka 2020 pamoja na kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.
Ni mpaka lini juhudi za kuzima intaneti kwenye matukio ya kitaifa hasa yanayohusu siasa za nchi zitakoma?
Yaani kama Uchaguzi wa CHADEMA tu umekuwa hivyo, hali itakuwaje kwenye Uchaguzi Mkuu?
Tuandaeni VPN zetu wakuu.
SOMA PIA
Ni mimi tu nime-notice kuwa kipindi ha Uchaguzi wa CHADEMA na baada ya Lissu kushinda spidi ya Intaneti imekuwa slow sana.
Ku-access imekuwa ni ngumu na siku hiyo ambayo mkutano mkuu wa CHADEMA ulikuwa unaendelea ilikuwa ni shida sana kuweza ku-stream tukio hilo.
Nakumbuka the same thing happened kwenye Uchaguzi wa mwaka 2020 pamoja na kwenye Uchaguzi wa Serikali za Mitaa.
Ni mpaka lini juhudi za kuzima intaneti kwenye matukio ya kitaifa hasa yanayohusu siasa za nchi zitakoma?
Yaani kama Uchaguzi wa CHADEMA tu umekuwa hivyo, hali itakuwaje kwenye Uchaguzi Mkuu?
Tuandaeni VPN zetu wakuu.
SOMA PIA
- Tukiachana na Fibre Cables, hiki ni kisababishi kingine cha ukosefu wa intaneti
- Kuna kila dalili zifikapo nyakati za uchaguzi mtandao utapunguzwa kasi ama kuzimwa kabisa. Tufanye nini kukabiliana na hali hiyo?
- Tujikumbushe Oktoba 2020 kipindi cha uchaguzi,uliteseka na mtandao ukiwa wapi?
- Kumbukumbu: Siku Mtandao wa Intaneti ulipokatwa kwa Wiki nzima kisa Matokeo ya Uchaguzi
- Mtanzania Afungua Kesi Mahakamani kuhusu kuzimwa kwa mitandao 2020, Aiomba Mahakama ichukue hatua kali
- Speed ya intanet imepungua sana Tanzania tumerudi 3G?
- Ubalozi wa Marekani - Tanzania wasitisha Miadi ya Wageni kutokana na tatizo la Intaneti
- Waziri Nape: Usajili wa VPN unafanyika ili kuwatambua Watumiaji wa Intaneti
- Kukosekana kwa intaneti: Kebo moja ya intaneti ilikatwa mapema Jumapili katika Mji wa bandari wa Afrika wa Durban, je ni hujuma?
- Pre GE2025 Hali ya internet ikoje maeneo ulipo? Unaweza kuperuzi kwenye mitandao ya kijamii bila shida?