Uchaguzi 2020 Lissu, Kiburi si maungwana!

Bukusaba ya bwerere pongezi ziende Kwa polepole
 
Huu utumbo ni mtu gani mjinga kakushauri ulete hapa
 

Akili zako bhana
 
Duuuuh
 
Hapa ndiyo utaona uwezo wa vijana kufikiria na kupamabuwa mambo
 
Post za kilumumba bana yaani ni uharo mtupu. Inaonekana umetumwa na manoti wa kule necccm uje unye huku
 
Binti nenda katumie tishu Sasa tumekusikia
 
Mlizoea kuburuza watu sasa Kama polisi tu na tume awajui hata sheria zinazowahusu Hadi Lisu kawafundisha we uoni raia wengi wanaonewa kwa kutojua sheria
 
T.Lissu bwana.

Wakati huu ni Mwendo wa kutembea sokoni tu!

Kesho akina Mama Ntilie Muandae Chakula cha kutosha,Kesho may be atapita kwenu.

Kesho kutwa..Labda ataenda Beach

Baada ya hapo anaweza kutana na konda wa daladala kila stendi,awasalimie.
 
daah hakika sheria ni tamu sana
 
Mimi ningependa Lisu asifanywe chochote kwasasa aachwe azure hivihivi aki kiuka utaratibu tena apigwe ban ya siku nyingine 7 awe anazyrura kwenye masoko na stendi za basi mbaka siku ya uchaguzi. Kwasasa Lisu anajua kabisa sio tu hashindi Ila kuna dalili anakwenda kuweka rekodi ya kushindwa vibaya. Anachofanya ni kutafuta pa kutupia Lawama. Nisawa na mtu amejipaka kinyesi sasa ana mtafuta mtu amrukie wanuke wote.
 
Ukiwa ccm automatically IQ ina drop hata uwe profesa,mifano ni mingi mcheki Kitila anavyoongea shudu za maana😀
 

wanaelewa sasa wana viburi wote chama kizima
 
Wakati Tundu na wafuasi wake wakiwa busy kutafuta umaarufu kibamba, kwenye mwendo kasi na sokoni kariakoo ambapo ameishia kuendelea kushusha heshma yake kudharaulika, John Pombe Magufuli yuko busy na shughuli za serikali na leo tuu amesha closedeal na rais Malawi.

Hapo ndio utajua rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania ni nani na anayejaribu kugombea urais ni nani
 
Yani unataka Lissu aache kula wali nazi ulioungwa vzuri kisa maamuzi yenu ya kukulupuka tena kwa akili za wakina polepole, NecCCm na vibaraka wa hapo lumumba.
 
Lissu alipokuwa nje walimdanganya sana bahati mbaya waliomdanganya hawaijui Tanzania vizuri siku zote na duniani kote huwezi kushindana na serikali na ukabaki salama ni swala la muda hata wanaomshabikia serikali ikichukua hatua watajificha nyuma ya keyboard
 
Kwahiyo na wewe kwa maelezo yako haya ni kwamba mgombea urais wa ccm anaendelea kutoa rushwa ya waziwazi ya kutoa ahadi na maagizo fedha au miundombinu fulani ipelekwe mahali fulani kwasababu anaagiza kama mgombea na rais? Unasema hicho anachokifanya Lissu ni kampeni? Je, ulitaka afanye nini? Kwamba kama kuna kazi za chama asizifanye kwasababu amesimamishwa kampeni na makada wa ccm? Fanyeni mtakalo.

Lissu amewang'ata kisogoni, subirini amalize haja zake. Hamuwezi kujifanya mnayo mamlaka ya kuwabinya watu wote. Lissu wala siyo mjinga na wala siyo mjivuni. Ni mtu makini anayejitambua na anayeijua haki yake.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…