Uchaguzi 2020 Lissu, Kiburi si maungwana!

Duh!!!! Yani kila topic lissu lissu nyuzi zote lissu kuna nn nauyu jamaa
 
πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚πŸ˜‚duu? Kweli maspana yanatisha mpaka mnaanza kulialia oooo!! Nchi yetu sote ndio mnajua leo? Wakati wanachadema wanafanyiwa unyama si mlikuwa mnachekea? SASA ibeni kura mtawatujua wa tanzania rangi yao halisi
 
Jiandae tu Tundu Antiphas Lissu ndo Raisi wa Jamhuri ya Muungano Tanzania 2020-2025
 
mlizoea upinzani wakina mrema, cheyo na lipumba.................huyu kaja kivingine
 
Wazazi tuna hasara, sasa na huyu mzazi mwenzangu naye eti amezaa! Utopolo mtupu
 
Mkiambiwa katiba mpya hamtaki..ndo maana tunamgombea ambae bado ni Raisi wa nchi..
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…