Pre GE2025 Lissu ni akili kubwa sana, ghafla kamtoa Mbowe kwenye ulingo wa siasa za upinzani

Pre GE2025 Lissu ni akili kubwa sana, ghafla kamtoa Mbowe kwenye ulingo wa siasa za upinzani

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

Zanzibar-ASP

JF-Expert Member
Joined
Nov 28, 2013
Posts
11,550
Reaction score
40,697
Kweli siasa ni sayansi, anachokifanya Lissu ni sayansi ya siasa, inahitaji akili zaidi kuliko nguvu, pesa au ujanja ujanja.

Nani anaweza kuamini kuwa leo hii Mbowe tayari yuko nje wa mkondo wa siasa za upinzani? Yote hayo ni matokeo ya harakati za Tundu Lissu katika kuwania uenyekiti wa Chadema.

Leo hii Mbowe hajui tena hatma yake ya kisiasa ndani ya Chadema na nje ya Chadema. Anaonekana mwenye msongo mkubwa wa mawazo, hajiamini, amechoka, anaongea majuto, analalamika, amefadhaika na kufedheheka, kisa tu uchaguzi wa ndani ya Chadema.

Makamanda wengi wa Chadema kwa sasa wanamuona Mbowe kama Mrema, Lipumba au Cheyo aliyechangamka. Leo hii CCM na serikali yake wanamshangilia Mbowe, wanamkumbatia Mbowe, wanampigia kampeni, wanamfadhili, wapo tayari kumpigania ashinde kwa heri au shari. Kisa Lissu, Lissu, Lissu!
 
Lissu anakubalika na wapinzani wengi tokea muda lakini ule upepo wa baada yakujaribiwa kuondolewa ile mwaka 2017 ulimpa taswira mpya kwenye siasa.

Nadhani bado anatembelea huo upepo.
 
Kweli siasa ni sayansi, anachokifanya Lissu ni sayansi ya siasa, inahitaji akili zaidi kuliko nguvu, pesa au ujanja ujanja.

Nani anaweza kuamini kuwa leo hii Mbowe tayari yuko nje wa mkondo wa siasa za upinzani?
Yote hayo ni matokeo ya harakati za Tundu Lissu katika kuwania uenyekiti wa Chadema.

Leo hii Mbowe hajui tena hatma yake ya kisiasa ndani ya Chadema na nje ya Chadema. Anaonekana mwenye msongo mkubwa wa mawazo, hajiamini, amechoka, anaongea majuto, analalamika, amefadhaika na kufedheheka, kisa tu uchaguzi wa ndani ya Chadema.

Makamanda wengi wa Chadema kwa sasa wanamuona Mbowe kama Mrema, Lipumba au Cheyo aliyechangamka. Leo hii CCM na serikali yake wanamshangilia Mbowe, wanamkumbatia Mbowe, wanampigia kampeni, wanamfadhili, wapo tayari kumpigania ashinde kwa heri au shari. Kisa Lissu, Lissu, Lissu!
Baada ya uchaguzi wa tarehe 21 uje uzungumze msianze kutia huruma ooh Mbowe kaiba kura.
 
Baada ya uchaguzi wa tarehe 21 uje uzungumze msianze kutia huruma ooh Mbowe kaiba kura.
Soma mada na uelewe.
Mada yangu haizungumzii chochote kuhusu mshindi wa kiti cha mwenyekiti wa Chadema, hoja yangu ni mgeuko wa anguko la kisiasa za upinzani unaokumbana nao Mbowe kwa sasa ambao umeletwa na Lissu.

Kwa kifupi sana, haijarishi Mbowe atashinda au atashindwa, jukwaa la kufanya siasa za upinzani kwa Tanzania hana tena. Ameingia kwenye orodha ya kina Mrema, Lipumba na Cheyo, ambao waliendelea kuwa wenyeviti ndani ya vyama vyao lakini wakipoteza uungwaji mkono wa harakati za upinzani.
 
Kadri siku zinavyoenda ninaanza kuamini zile tetesi toka Twitter kuwa kuna mtu kalambishwa asali ya 12B+ 🤣🤣
 
Kweli siasa ni sayansi, anachokifanya Lissu ni sayansi ya siasa, inahitaji akili zaidi kuliko nguvu, pesa au ujanja ujanja.

Nani anaweza kuamini kuwa leo hii Mbowe tayari yuko nje wa mkondo wa siasa za upinzani?
Yote hayo ni matokeo ya harakati za Tundu Lissu katika kuwania uenyekiti wa Chadema.

Leo hii Mbowe hajui tena hatma yake ya kisiasa ndani ya Chadema na nje ya Chadema. Anaonekana mwenye msongo mkubwa wa mawazo, hajiamini, amechoka, anaongea majuto, analalamika, amefadhaika na kufedheheka, kisa tu uchaguzi wa ndani ya Chadema.

Makamanda wengi wa Chadema kwa sasa wanamuona Mbowe kama Mrema, Lipumba au Cheyo aliyechangamka. Leo hii CCM na serikali yake wanamshangilia Mbowe, wanamkumbatia Mbowe, wanampigia kampeni, wanamfadhili, wapo tayari kumpigania ashinde kwa heri au shari. Kisa Lissu, Lissu, Lissu!
Ngoja wishe uchaguzi uone Lissu anavyohaha. Akienda Chauma Mwahoza anapeleka barua kutaka kujua uhalali wa chama kwasababu miaka mingi hajafanya uchaguzi, akienda ACT akina Jussa wanamkataa, mwisho wa siku anarudi maria space kutukana Mbowe,
 
Mbowe sijui kwanini haoni au kuna mambo ameshafanya sasa ni lazima tu agombee hata hatuelewi!!!
 
Lissu anakubalika na wapinzani wengi tokea muda lakini ule upepo wa baada yakujaribiwa kuondolewa ile mwaka 2017 ulimpa taswira mpya kwenye siasa.

Nadhani bado anatembelea huo upepo.
Wewe humjui vyema Lissu.
Mfuatilie vyema ndio utaelewa.
Kwa vipi upepo tu wa kukoswa kuuwawa umpeperushe hadi Mbowe kutoka kwenye siasa za upinzani?
 
Mbowe sijui kwanini haoni au kuna mambo ameshafanya sasa ni lazima tu agombee hata hatuelewi!!!
Kampigie kura Liusu wewe na familia yako yote ili awe mwenyekiti. Matusi mshamaliza bado mnalalamika?
 
Wewe humjui vyema Lissu.
Mfuatilie vyema ndio utaelewa.
Kwa vipi upepo tu wa kukoswa kuuwawa umpeperushe hadi Mbowe kutoka kwenye siasa za upinzani?
Wewe hujasoma part ya mwanzo ya argument yangu. Umesoma tu part ha mwisho.
 
Kweli siasa ni sayansi, anachokifanya Lissu ni sayansi ya siasa, inahitaji akili zaidi kuliko nguvu, pesa au ujanja ujanja.

Nani anaweza kuamini kuwa leo hii Mbowe tayari yuko nje wa mkondo wa siasa za upinzani?
Yote hayo ni matokeo ya harakati za Tundu Lissu katika kuwania uenyekiti wa Chadema.

Leo hii Mbowe hajui tena hatma yake ya kisiasa ndani ya Chadema na nje ya Chadema. Anaonekana mwenye msongo mkubwa wa mawazo, hajiamini, amechoka, anaongea majuto, analalamika, amefadhaika na kufedheheka, kisa tu uchaguzi wa ndani ya Chadema.

Makamanda wengi wa Chadema kwa sasa wanamuona Mbowe kama Mrema, Lipumba au Cheyo aliyechangamka. Leo hii CCM na serikali yake wanamshangilia Mbowe, wanamkumbatia Mbowe, wanampigia kampeni, wanamfadhili, wapo tayari kumpigania ashinde kwa heri au shari. Kisa Lissu, Lissu, Lissu!
kati ya vitu vya kuogopa hapa duniani wa kwanza ni Mungu huyo ndio halinganishwi na chochote.
ukija kwa wanadamu, wa pili ni technolojia, wa tatu ni Mwanasheria na wa nne ni mwandishi wa habari.
 
Kampigie kura Liusu wewe na familia yako yote ili awe mwenyekiti. Matusi mshamaliza bado mnalalamika?
Nyie si ndio mlikuwa mnasema Mbowe astaafu na kwamba amekaa muda mrefu? Hakika mna kipaji cha unafiki!
 
Kweli siasa ni sayansi, anachokifanya Lissu ni sayansi ya siasa, inahitaji akili zaidi kuliko nguvu, pesa au ujanja ujanja.

Nani anaweza kuamini kuwa leo hii Mbowe tayari yuko nje wa mkondo wa siasa za upinzani?
Yote hayo ni matokeo ya harakati za Tundu Lissu katika kuwania uenyekiti wa Chadema.

Leo hii Mbowe hajui tena hatma yake ya kisiasa ndani ya Chadema na nje ya Chadema. Anaonekana mwenye msongo mkubwa wa mawazo, hajiamini, amechoka, anaongea majuto, analalamika, amefadhaika na kufedheheka, kisa tu uchaguzi wa ndani ya Chadema.

Makamanda wengi wa Chadema kwa sasa wanamuona Mbowe kama Mrema, Lipumba au Cheyo aliyechangamka. Leo hii CCM na serikali yake wanamshangilia Mbowe, wanamkumbatia Mbowe, wanampigia kampeni, wanamfadhili, wapo tayari kumpigania ashinde kwa heri au shari. Kisa Lissu, Lissu, Lissu!
Ntobi atakuambia wewe ni "parody".
Eti Lissu anadanganywa na ma-parody.
 
Back
Top Bottom