Lissu ni kweli utaratibu ni mbovu katika kupokea maoni ya wananchi juu ya katiba lakini je

Lissu ni kweli utaratibu ni mbovu katika kupokea maoni ya wananchi juu ya katiba lakini je

Mbugi

JF-Expert Member
Joined
Jan 7, 2011
Posts
1,488
Reaction score
257
Inakuwaje inapofikia baba anamkuta mkewe analia na yeye anaanza kulia? Nani alitazamiwa kumyamazisha mwenzie? Angalia majibu yako yaende na dhamana uliyonayo mbele ya watanzania? Mbona mengine husemei mabovu zaidi kama ya mbuge kukopeshwa billioni 90 kwa ajili ya ununuzi wa gari nje kabisa ya bajeti iliyokuwa imepangwa
 
Back
Top Bottom