Tundu Antipas Lissu, amekuwa alisisitiza kuwa Kama watanzania watakuwa na Nia ya kupata katiba mpya, Basi 28/10/2020 atakaye mpigia kura atambue kuwa kura yake itakuwa Ni kura ya katiba mpya.
Hili Ni Jambo lisilo stahili kupuuzwa hata kidogo, Mara tu baada ya serikali hii ya awamu ya tano kuingia madarakani taasisi mbali mbali na makindi mbali mbali ya kijamii vili muomba Rais Magufuli arejelee mchakato wa katiba mpya , ili tuweze angalau kuwa na katiba inayo endana na mfumo wa vyama vingi vya siasa. Matokeo yake Rais alisema kuwa hakuwahi kuzungumzia habari ya katiba mpya na jinsi ilivyo hata Leo kwenye kampeni zake hataki kabisa kuligusia Hilo.
Na anafanya hivyo kwa makusudi
1: Anatambua kuwa Kama akikubali Itawanyang'anya mamlaka mengi ya kiutendaji aliyojimiliksha kutokana mfumo uliopo kwa sasa.
2: Anatambua kuwa Kama ataruhusu huo mfumo mpya wa katiba utaweza kuwa kichochezi Cha wao kutoka madarakani kiurahisi kwani utaweza kuruhusu kuhoji uhalali wa matokeo ya uchaguzi mahakamani ( Kama ingeonyesha kuna mchezo mchafu )n.k.
Hivyo Tundu Lissu anatoa wito kuwa Kama kweli tuna Nia na katiba mpya itakayo ondolea mbali mfumo wa viongozi kung'ang'ania kwenye madaraka hata Kama wananchi wamewachoka basi 28/10/ 2020 tutambue kuwa kura yako itakuwa Ni kwa ajili ya katiba mpya.
Ukweli Ni kwamba katiba mpya inahitajika. Uamuzi Ni wako na wangu.
Hili Ni Jambo lisilo stahili kupuuzwa hata kidogo, Mara tu baada ya serikali hii ya awamu ya tano kuingia madarakani taasisi mbali mbali na makindi mbali mbali ya kijamii vili muomba Rais Magufuli arejelee mchakato wa katiba mpya , ili tuweze angalau kuwa na katiba inayo endana na mfumo wa vyama vingi vya siasa. Matokeo yake Rais alisema kuwa hakuwahi kuzungumzia habari ya katiba mpya na jinsi ilivyo hata Leo kwenye kampeni zake hataki kabisa kuligusia Hilo.
Na anafanya hivyo kwa makusudi
1: Anatambua kuwa Kama akikubali Itawanyang'anya mamlaka mengi ya kiutendaji aliyojimiliksha kutokana mfumo uliopo kwa sasa.
2: Anatambua kuwa Kama ataruhusu huo mfumo mpya wa katiba utaweza kuwa kichochezi Cha wao kutoka madarakani kiurahisi kwani utaweza kuruhusu kuhoji uhalali wa matokeo ya uchaguzi mahakamani ( Kama ingeonyesha kuna mchezo mchafu )n.k.
Hivyo Tundu Lissu anatoa wito kuwa Kama kweli tuna Nia na katiba mpya itakayo ondolea mbali mfumo wa viongozi kung'ang'ania kwenye madaraka hata Kama wananchi wamewachoka basi 28/10/ 2020 tutambue kuwa kura yako itakuwa Ni kwa ajili ya katiba mpya.
Ukweli Ni kwamba katiba mpya inahitajika. Uamuzi Ni wako na wangu.