Pre GE2025 Lissu: Sijafikiria kuhama CHADEMA kwa sababu ndio Chama Bora kabisa barani Africa lakini hiyo haina maana Viongozi wake ni Malaika!

Pre GE2025 Lissu: Sijafikiria kuhama CHADEMA kwa sababu ndio Chama Bora kabisa barani Africa lakini hiyo haina maana Viongozi wake ni Malaika!

Mijadala ya Uchaguzi Mkuu wa Tanzania 2025 (Kabla, wakati na baada)

johnthebaptist

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2014
Posts
97,869
Reaction score
171,716
Makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Antipas Lisu amesema hana Mpango wa kuanzisha Chama kipya Cha Siasa na wala hafikirii kuhama Chadema kwa sababu ndio Chama Bora kabisa barani Africa

Hata hivyo Lisu amesema pamoja na ubora wake Chadema Siyo Chama Cha Malaika

Credit: ITV

Mlale Unono 😀🌹
CHADEMA sio malaika. Ila CCM jamani, kha, hata kuwaita mashetani ni kuwapendelea! Roho mbaya na ufisadi hadi shetani anawaonea wivu anatamani angekuwa kama wao!
 
Makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Antipas Lisu amesema hana Mpango wa kuanzisha Chama kipya Cha Siasa na wala hafikirii kuhama Chadema kwa sababu ndio Chama Bora kabisa barani Africa

Hata hivyo Lisu amesema pamoja na ubora wake Chadema Siyo Chama Cha Malaika

Credit: ITV

Mlale Unono 😀🌹
🤣🤣🤣🤣🤣 OKW BOBAN SUNZU tayari huku.
🤣🤣
 
Makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Antipas Lisu amesema hana Mpango wa kuanzisha Chama kipya Cha Siasa na wala hafikirii kuhama Chadema kwa sababu ndio Chama Bora kabisa barani Africa

Hata hivyo Lisu amesema pamoja na ubora wake Chadema Siyo Chama Cha Malaika

Credit: ITV

Mlale Unono 😀🌹
Chama bora Afrika,ubora namba ngapi?

USSR
 
Back
Top Bottom