johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 97,869
- 171,716
CHADEMA sio malaika. Ila CCM jamani, kha, hata kuwaita mashetani ni kuwapendelea! Roho mbaya na ufisadi hadi shetani anawaonea wivu anatamani angekuwa kama wao!Makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Antipas Lisu amesema hana Mpango wa kuanzisha Chama kipya Cha Siasa na wala hafikirii kuhama Chadema kwa sababu ndio Chama Bora kabisa barani Africa
Hata hivyo Lisu amesema pamoja na ubora wake Chadema Siyo Chama Cha Malaika
Credit: ITV
Mlale Unono 😀🌹
He is in the cage. Hafurukuti. Hapana chezea nguvu ya chui jike aka chief HangaYeye ni simba wa kizimkazi, haeleweki anapambania nini na hatulii hata akipata hicho atakacho
🤣🤣🤣🤣🤣 OKW BOBAN SUNZU tayari huku.Makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Antipas Lisu amesema hana Mpango wa kuanzisha Chama kipya Cha Siasa na wala hafikirii kuhama Chadema kwa sababu ndio Chama Bora kabisa barani Africa
Hata hivyo Lisu amesema pamoja na ubora wake Chadema Siyo Chama Cha Malaika
Credit: ITV
Mlale Unono 😀🌹
Chama bora Afrika,ubora namba ngapi?Makamu Mwenyekiti wa Chadema mh Tundu Antipas Lisu amesema hana Mpango wa kuanzisha Chama kipya Cha Siasa na wala hafikirii kuhama Chadema kwa sababu ndio Chama Bora kabisa barani Africa
Hata hivyo Lisu amesema pamoja na ubora wake Chadema Siyo Chama Cha Malaika
Credit: ITV
Mlale Unono 😀🌹
Chui Jike anazaa tu mbele ya Simba Dume.Hapana chezea nguvu ya chui jike
Number oneChama bora Afrika,ubora namba ngapi?
USSR
Duh, kwa unavyohangaika lazima una nasaba kwenye familia ya akili kiduchu!Chama Bora Africa ni CCM
[emoji1787]Yeye ni simba wa kizimkazi, haeleweki anapambania nini na hatulii hata akipata hicho atakacho
Chura jike kiziwi, kwa kumnukuu yeye mwenyewe.He is in the cage. Hafurukuti. Hapana chezea nguvu ya chui jike aka chief Hanga